Ukomunisti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d Robot: arz:شيوعيه is a featured article; cosmetic changes |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Hammer sickle clean.png|thumb|150px|right|[[Nyundo]] na [[Mundu]], ni [[alama]] ya ukomunisti, nguvu ya wafanyakazi.]]
'''Ukomunisti''' ni njia ya ki[[siasa]] ya kufikiri na [[dhana]] ya jinsi gani [[jamii]] inapaswa kufanya [[kazi]] na kupanga mambo yake.
Ukomunisti ni aina ya [[ushoshalisti]] ambao unasema haipaswi kuwa na tofauti za ma[[tabaka]] katika jamii.
'''Ukomunisti''' ni njia ya kisiasa ya kufikiri na dhana ya jinsi gani jamii inapaswa kufanya kazi na kupanga mambo yake. Ukoministi ni aina ya ushoshalisti ambao unasema kwamba haipaswi kuwa na hali ya utofauti wa madaraja katikia jamii. Ukomunisti unasema kwamba watu wa kila sehemu ya dunia wanapaswa kumiliki zana, viwanda, na mashamba ambayo yanatumiwa kuzalishia bidhaa na vyakula. Mchakato huu wa kijamii hujulikana kama umiliki wa kawaida. Katika jumuia ya wa wakomunisti, hakuna mali binafsi.▼
▲
== Falsafa ==
[[Picha:Communist-manifesto.png|thumb|130px|right|[[Ilani]] ya Kikomunisti]] Kwa mujibu wa waandishi na wafikiri wa Ukomunisti, lengo la Ukomunisti ni
Baada ya wafanyakazi wa [[serikali]] kuimarisha [[maslahi]] yao wangeweza polepole kuleta zana zote za [[uzalishaji]] chini ya udhibiti wao, mpaka hapo [[mfumo]] wa bila matabaka na hali ya kutokuwa na serikali katika jamii imeumbwa.
Hili ni wazo la kizamani, lakini limeanza kuwa maarufu baada ya [[Mapinduzi ya Ufaransa]] na [[harakati]]
Pamoja na [[hoja]]
[[Vladimir Lenin]]
== Siasa ==
== Historia ==
== Migogoro ==
== Ishara na utamaduni ==
[[Jamii:Ukomunisti]]
[[Jamii:Siasa]]
|