Charles Huggins : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: left|80px '''Charles Brenton Huggins''' (22 Septemba, 1901 – 12 Januari, 1997) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya uchung... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 14:12, 28 Novemba 2007
Charles Brenton Huggins (22 Septemba, 1901 – 12 Januari, 1997) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya uchunguzi mwingine alichunguza uhusiano kati ya homoni na kensa. Mwaka wa 1966, pamoja na Peyton Rous alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |