Hija : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 48 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1644573 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Western wall jerusalem night.jpg|thumb|300px|Wayahudi wakisali kwenye [[Ukuta wa Maombolezo]], Yerusalemu.]]
'''Hija''' ni [[safari]] inayofanyika kwa sababu ya [[dini]], ikilenga [[patakatifu]] fulani.
[[Image:Jerusalem Holy Sepulchre BW 24.JPG|thumb|right|300px|[[Mlango]] mkuu wa [[Kanisa la Kaburi na Ufufuo wa Yesu]], Yerusalemu.]]
[[File:Al-Haram mosque - Flickr - Al Jazeera English.jpg|thumb|300px|Hija ya Waislamu kwenye [[Masjid al-Haram]], Maka, mwaka [[2008]].]]
'''Hija''' (kutoka [[Kiarabu]] '''حج''', ''Ḥaǧǧ'') ni [[safari]] inayofanyika kwa sababu ya [[dini]], ikilenga [[patakatifu]] fulani.
 
Kwa maana ya kiroho, [[maisha]] yote ni [[safari]] ya kumuelekea [[Mungu]] au [[uzima wa milele]] n.k.
 
[[Desturi]] ya kuhiji iko katika dini mbalimbali.
* [[Uhindu|Wahindu]] huhiji mahali pengi hasa [[mji]] wa [[Benares]] na [[mto Ganges]].
* [[Ukristo|Wakristo]] hasa wa madhehebu ya Kiorthodoksi na Katoliki wanajua hija kwenda [[Yerusalemu]], [[Roma]] na mahali pengine.
* [[Uyahudi]] tangu zamani unatia maanani hasa hija ya kwenda [[Yerusalemu]], iliyokuwa ya [[lazima]] katika [[sikukuu]] mbalimbali kwa waumini kuanzia umri wa ku[[balehe]]; unaendelea hata baada ya [[hekalu]] la mji huo kubomolewa kabisa mwaka [[70]] [[BK]].
* [[Uislamu|Waislamu]] huwa na [[hajj]] kutembelea [[Makka]], [[Washia]] wanatembela pia makaburi ya maimamu yao huko [[Najaf]], [[Karbala]], [[Mashhad]] na penginepo. Mwislamu aliyetimiza safari hii anapokea cheo cha "[[alhaji]]" kama sehemu ya jina lake.
* [[Ukristo|Wakristo]] hasa wa [[madhehebu]] ya [[Waorthodoksi|Kiorthodoksi]] na [[Wakatoliki|Katoliki]] wanajua hija kwenda [[Yerusalemu]], [[Roma]] na mahali pengine.
* [[Uhindu|Wahindu]] huhiji mahali pengi hasa mji wa [[Benares]] na [[mto Ganges]]
* [[Uislamu|Waislamu]] huwa na [[hajj]] kutembelea [[Makka]], [[Washia]] wanatembela pia makaburima[[kaburi]] ya maimamuma[[imamu]] yaowao huko [[Najaf]], [[Karbala]], [[Mashhad]] na penginepo. Mwislamu aliyetimiza safari hii anapokea [[cheo]] cha "[[alhaji]]" kama sehemu ya jina lake.
 
Kiasili neno "hija" ilimaanishakatika pekee[[Kiswahili]] lilimaanisha tu safari ya Waislamu kwenda Makka kwa saababusababu katika [[utamaduni]] wa [[Waswahili]] hili lilikuwa safari ya kidini pekee yenye jina maalumu.

Lakini Wakristo wamepokea neno hili pia kwa safari zao za kiroho na siku hizi inatumiwalinatumiwa kwa kutaja safari za aina hii kwa jumlakatijumla kati ya dini zote.
 
{{mbegu-dini}}
 
[[Jamii:Dini]]