Duara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 119 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q17278 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Duara''' ni umbo la mviringo bapa yaani katika tambarare linalofanana na herufi "o".
Katika [[jiometria]] duara huelezwa kuwa [[mchirizo]] uliofungwa na umbali wa kila [[nukta]] ya mchirizo ni sawa kutoka kitovu cha duara.
Mstari wa nje wa duara huitwa mzingo. Katikati yake ni kitovu. Mstari usioonyoka kutoka kitovu hadi mzingo huitwa rediasi au [[nusukipenyo]]. Mstari wowote kutoka upande mmoja wa mzingo hadi upande mwingine unaopita kwenye kitovu huitwa [[kipenyo]].
|