Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
49,264
edits
No edit summary |
No edit summary |
||
[[Picha:Atom.png|thumb|Mfumo wa atomi kwa mfano wa atomi ya [[Heli]]: [[Elektroni]] mbili (njano) kwenye mzingo wa atomi huzunguka [[kiini cha atomi]] chenye [[Protoni]] mbili (nyekundu) na [[Neutroni]] mbili (kijani).]]
'''Atomi''' (pia: '''atomu'''; kutoka [[kigiriki]] '''ἄτομος''' ''átomos'' "yasiyogawiwa") ni sehemu ndogo ya [[maada]] yenye tabia ya kikemia kama [[elementi]]. Kila kitu duniani hujengwa kwa atomi. Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani kwa macho hata hazionekani kwa [[hadubini]] za kawaida. Kuna aina nyingi za atomi na idadi za aina hizi tofauti ni sawa na elementi zilizopo duniani.
|