Kihindi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
+viungo vya nje
Mstari 7:
==Kihindi, Kiurdu na Kihindustani==
Kihindi ni umbo la lugha ya [[Kihindustani]] nchini India. Kihindustani ilikuwa jina la pamoja katika Uhindi wa kaskazini kabla ya ugawaji wa mwaka 1947 mwisho wa ukoloni na kuanzishwa kwa nchi huru za [[Pakistan]] na India. Baada ya uhuru lugha ya pamoja ya awali iliitwa "Kihindi" upande wa India na "[[Kiurdu]]" upande wa Pakistan. Hali halisi lugha hizi mbili ni kama lugha 1 hata kama Urdu huandikwa kwa [[herufi za Kiarabu]] na Kihindi kwa herufi za [[Devanagari]].
 
==Viungo vya nje==
*[http://www.language-archives.org/language/hin makala za OLAC kuhusu Kihindi]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/hind1269 lugha ya Kihindi katika Glottolog]
*http://www.ethnologue.com/language/hin
 
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Hindi}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Lugha za Kihindi-Kiajemi]]
 
 
[[en:Hindustani_language]]