DNA : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:DNA orbit animated small.gif|thumb|right|Mfano wa mfumo wa DNA]]
'''DNA''' ni kifupi cha '''DeoxyriboNucleic Acid''' (Deoksiriboasidi Nyuklia) ambayo ni [[jina]] la [[molekuli]] kubwa ndani ya [[seli]] za [[viumbehai]] pamoja na [[wanyama]], [[mimea]], [[bakteria]] na [[virusi]]. Inabeba ndani yake habari zote za [[urithi]] wa kiumbehai yaani habari za [[tabia]] zote zinazopokelewa
Molekuli ya DNA ina [[umbo]] kama ngazi mbili za kupanda zilizounganishwa pamoja na kupindwa kama [[sukurubu]]. Kila ngazi ni [[nukleotidi]] ambayo ni muungo wa [[sukari]] fulani pamoja na moja kati ya [[besi]] ogania nne. Ufutano wa besi hizi unaamua namna gani kujenga [[protini]] wakati wa kujenga seli mpya.
DNA ina uwezo wa kujinakili. Wakati wa kuzaa DNA inajipasua katikati ya pande mbili za "ngazi" yake. Hivyo nusu "ngazi" ya upande wa mzazi mmoja inaungana na nusu "ngazi" ya mzazi mwingine.
Tabia kama [[ukubwa]], [[rangi]] ya [[ngozi]] au [[nywele]] ziko kila moja mahali pake; zikiunganishwa za [[baba]] na [[mama]], [[kemia]] inaamua ni upande gani DNA inatokea hasa ndani ya [[kromosomu]] kwenye [[kiini cha seli]].
Line 11 ⟶ 13:
* http://www.ornl.gov/sci/techresources/Human_Genome/project/info.shtml
[[Jamii:Jenetikia]]
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Kifupi]]
|