Wabena (Tanzania) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 6 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1115893 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Wabena''' ni [[kabila]] la watu wa [[Tanzania]] wanaoishi hasa katika [[Mkoa wa Njombe]], [[Wilaya]] za
==Lugha==
[[Lugha]] yao ni [[Kibena]]. Kutokana na [[tahariri]] ya Dr. Kilemile ([[2009]]), Kibena ni lugha tajiri sana kwa maneno na ni pana sana ikiwa na [[lahaja]] kuu tano: Ki-Kilavwugi (
Lugha ni moja tu; tofauti ni ndogondogo, zikitokana na matamshi, mfano kukaza "dz", kwa lahaja zote isipokuwa Kikilavwugi ambacho ingawa inaandikwa "dzi" inatamkwa kama "dji" umuhudji; na Kilupembe inaandikwa "dzi" lakini watumiaji wanatamka kama "chi" umuhuchi, achile - amekuja, wakati "adjile" (Kikilawugi)... Wengine wote wanakaza adzile, umuhudzi. Tofauti nyingine ni ya kutumia k na h. Mfano: Kamwene/
[[Suala]] lingine ni tofauti ya baadhi ya maneno mfano: Asubuhi: Lwamilawu/palukela; Kuketi: kwikala/hwikala/
[[Kamusi]] inatakiwa kujumuisha maneno yote yanayohitilafiana na kudokeza yanakotumika. Maana kamusi ni [[kihenge]] cha lugha. Hivyo kuita kamusi yale maneno machache ya Kibena aliyoorodhesha Dr. Joshua ni [[dhihaka]] kwa lugha hii ambayo ni tajiri mno kwa misamiati.
Kwa mfano neno kupiga tu lina maneno zaidi ya 100 yakionyesha huyo aliyepigwa amepigwa wapi na
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
|