Mto : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) |
→Beseni: nyongeza |
||
Mstari 26:
== Beseni ==
Jumla ya eneo ambako tawimito yote
Sehemu kubwa zaidi ya Afrika ya Mashariki inapeleka maji kwenda beseni za [[Rufiji (mto)|Rufiji]], [[Ruvuma (mto)|Ruvuma]], [[Ruaha Mkuu]] au [[mto Tana]] ambayo yote inaishia katika Bahari Hindi.
Mipaka kati ya beseni huitwa [[tengamaji]]. Tengamaji kwa kawaida ni eneo la juu ambako upande moja maji hutelemka kuelekea beseni moja na upande mwingine kwenda beseni tofauti. Kwa mfano tengamaji kati ya beseni za Ruaha Mkuu na [[Mto Zambezi]] (kupitia [[Ziwa Nyasa]]) inafuata milima ya [[Uporoto]] na [[Kipengere]].
== Mito katika dura ya maji duniani ==
|