Burundi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
→‎Ukoloni: nyongeza historia
Mstari 96:
 
===Ukoloni===
[[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. WalifuatwaLakini nahabari wengineza nafalme mwakakwenye [[1894]]eneo [[Mjerumani]]kati waya kwanzamaziwa alipitamakubwa hukohazikuenea aliyekuwa [[Oskar Baumann]]sana. Wakati ulewa [[Ujerumani]]Mkutano uliwahiwa tayariBerlin kuanzishaWajerumani [[koloni]]hawakujua lakeya lakwamba [[Afrikafalme yaza MasharikiBurundi ya Kijerumani]]na lakiniRwanda Wajerumanizilikuwepo walichelewandni kufikaya kaskazini-magharibieneo mwawaliotegemea maeneo waliyotazamakutwaa. kuwaWaliitambua sehemubaadaye yaotu.
 
Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] uliwahi tayari kuanzisha [[koloni]] ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao.
Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] mwakilishi mkazi (resident) ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa vyanzo vya nyakati zile zinaonyesha ya kwamba walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.
 
Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] mwakilishi mkazi (resident) ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa vyanzo vya nyakati zile zinaonyesha ya kwamba walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.
 
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]]. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa.