Mizimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
umbo tu, makala dhaifu |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mizimu''' ni [[roho]] zilizoishi katika [[mwili]] kabla ya kuiaga [[dunia]].
Katika baadhi ya [[dini]] na [[mila]] inaaminika kuwa mizimu inaweza kuwa na [[faida]] kwa watu waliopo duniani na ina uwezo wa kuwasiliana nao kwa kutumia njia mbalimbali kufuatana na [[mazingira]] au [[utamaduni]].
Katika [[Kanisa Katoliki]] na baadhi ya [[madhehebu]] mengine, mizimu inaweza kuwa ya [[watakatifu]].
Kuna tofauti kati ya Mizimu na vizimu; vizimu ni roho za binadamu (hasi) ambao hawakupata majukumu mapya baada ya kuiaga dunia kwa sababu ya kutotimiza majukumu yao au kufanya kinyume wakati wapo duniani.▼
▲Kuna tofauti kati ya
{{mbegu-dini}}
▲[[Jamii:dini]]
|