Dunia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 29:
Kwa pamoja maeneo ya maji hufunika 70.7% za uso wa dunia. Nchi kavu huwa na 29.3% na sehemu kubwa ya eneo la nchi kavu ni bara 7 za [[Asia]], [[Afrika]], [[Amerika Kaskazini]], [[Amerika Kusini]], [[Antarktika]], [[Ulaya]] na [[Australia]]. (Ulaya inaweza kuangaliwa pia kama sehemu ya Asia ikiwa kama [[rasi]] yake ya magharibi. Azimio la kutazama Australia kama bara na [[Greenland]] kama [[kisiwa]] tu ni azimio la hiari si la lazima).
 
Maeneo ya bahari kuu ya dunia kwa kawaida hugawiwa kwa bahari kubwa 3 za [[Pasifiki]], [[Atlantiki]] na [[Bahari Hindi]]. Sehemu ya chini baharini iko kwenye [[Mfereji yawa Mariana]] katika Pasifiki (mita 11,034 chini ya UB). Kwa [[wastani]] bahari huwa na [[kina]] cha mita 3,800.
 
== Muundo wa dunia ==
:''- taz. makala "[[Muundo wa dunia]]" -''
[[Picha:Dunia muundo.png|thumbnail|right|240px|TabakaMatabaka zilizopoyaliyopo katika muundo wa dunia.]]
Tumeona dunia ina umbo la viringomviringo au tufe. Tufe hilihilo si kipande kimoja kikubwa cha [[mwamba]] thabiti. Dunia ina muundo ndani yake. Muundo huuhuo unafanana kiasi na [[kitunguu]], yaani dunia yetu imefanyika kwa matabaka mbalimbali yanayofuatana kutoka nje kwenda ndani. Kila moja inalina tabia yake. Kimsingi wataalamu hutofautisha matabaka matatu ambazo ni:
*Ganda la dunia
*Koti ya dunia
*Kiini cha dunia
 
Kimsingi [[wataalamu]] hutofautisha matabaka matatu ambayo ni:
Ganda la dunia ni sehemu imara na uhai wote tunaojua unapatikana juu yake. Katikati hali ya koti na kiini ni ya joto kubwa sana na mada yake hupatikana katika hali ya gilgili (si imara, kuyeyushwa). Kila ukiingia ndani dunia inazidi kuwa moto mpaka ukifika ndani kabisa daraja ya harara hufikia nyuzi 5000-6000 °C.
*[[Ganda la dunia]]
*[[Koti yala dunia]]
*[[Kiini cha dunia]]
 
Ganda la dunia ni sehemu imara na uhai wote tunaojuatunaoujua unapatikana juu yake. Katikati hali ya koti na ya kiini ni ya joto kubwa sana na mada[[maada]] yake hupatikana katika hali ya gilgili[[giligili]] (si imara, kuyeyushwa). Kila ukiingia ndani dunia inazidi kuwa ya [[moto]] mpaka ukifika ndani kabisa daraja ya harara hufikia [[nyuzi]] 5000-6000 °C.
Matabaka haya yanafanywa kwa [[elementi]] za kikemia ambazo ni [[feri (chuma)]] (32,1 %), [[oksijeni]] (30,1 %), [[silisi]] (15,1 %), [[magnesi]] (13,9 %), [[sulfuri]] (2,9 %), [[nikeli]] (1,8 %), [[kalsi]] (1,5 %) na [[alumini]] (1,4 %). Mabaki ya 1,2 % ni viwango vidogo vya elementi nyingine. Elementi hizi zinapatikana kwa hali safi au katika [[kampaundi]] za elementi.
 
Matabaka hayahayo yanafanywa kwa [[elementi]] za kikemiaki[[kemia]] ambazo ni [[feri (chuma)]] (32,1 %), [[oksijeni]] (30,1 %), [[silisi]] (15,1 %), [[magnesi]] (13,9 %), [[sulfuri]] (2,9 %), [[nikeli]] (1,8 %), [[kalsi]] (1,5 %) na [[alumini]] (1,4 %). Mabaki ya 1,2 % ni viwango vidogo vya elementi nyingine. Elementi hizihizo zinapatikana kwa hali safi au katika [[kampaundi]] za elementi.
Vipimo vimeonyesha ya kwamba tabaka mbili za koti na kiini huwa tena na mgawanyo ndani yao hivyo matabaka yafuatayo yanaweza kutofautishwa.
 
Vipimo vimeonyesha ya kwamba tabakamatabaka mbilimawili zaya koti na kiini huwa tena na mgawanyomgawanyiko ndani yaoyake, hivyo matabaka yafuatayo yanaweza kutofautishwa.
 
{| {{mezamaridadi}}
Line 51 ⟶ 53:
| Ganda la nje || 0 - 40
|-
| Koti yala juu || 40 - 400
|-
| Koti yala kati || 400 - 900
|-
| Koti yala chini || 650 - 2900
|-
| Kiini cha nje || 2900 - 5100
Line 63 ⟶ 65:
|}
 
Sehemu ya juu ya koti inafanana kikemia na ganda na sehemu hizihizo mbili zinaitwa [[tabakamwamba]]. Tabakamwamba ina [[unene]] wa kilomita 50 - 100.

Tabakamwamba imekatika katika vipande vinavyoitwa [[mabamba la gandunia]]. Vipande hivi vinaelea juu ya giligili ya koti yala ndani. Hapo niNdiyo sababu ya kwamba [[bara]] lolote si kitu chala [[milele]]; kila [[bamba]] huwa na [[mwendo]] wake na hapo nindiyo sababu ya kwamba katika [[historia]] ya dunia mabara yameachana na kuungana mara kadhaa. Kwa mfano imepimwa ya kwamba sehemu kubwa ya [[Afrika ya Mashariki]] ina mwendo wa kuachana na bara la Afrika na [[dalili]] yake ni [[bonde la ufa]].

Pale ambako mabamba yanapakana, [[volkeno]] nyingi zinapatikana na [[matetemeko ya ardhi]] hutokea.
 
== Uga sumaku wa dunia ==
[[Picha:Uga sumaku unakinga dunia.png|450px|thumbnail|[[Mnururisho]] unavyotoka kwenye jua na kugengeushwakukengeushwa na mistari ya nguvu ya sumaku ya uga sumaku wa dunia]]
Dunia inazungukwa na [[uga sumaku]] yaani mistari ya nguvu ya [[kisumaku]]. Sababu yake ni ya kwamba [[kiini cha dunia]] inafanywakinafanywa na [[chuma]] chenye tabia kama [[sumaku]] kubwa. Tabia hii inasababishwa na mwendo wa mikondo ya chuma cha moto kilichoyeyuka katika kiini cha nje cha dunia. Mistari ya nguvu ya sumaku inatoka nje kwenye ncha ya kusini na kurudi ndani ya dunia kwenye ncha ya kaskazini. Tabia hii ni msingi kwa kazi ya dira ambako sindano ya dira huvutwa daima na ncha sumaku ya dunia na kuelekea kaskazini muda wote.
 
Tabia hiyo inasababishwa na mwendo wa mikondo ya chuma cha moto kilichoyeyuka katika kiini cha nje cha dunia. Mistari ya nguvu ya sumaku inatoka nje kwenye ncha ya kusini na kurudi ndani ya dunia kwenye ncha ya kaskazini. Tabia hiyo ni msingi wa kazi ya [[dira]] ambamo sindano ya dira huvutwa daima na ncha sumaku ya dunia na kuelekea kaskazini muda wote.
Uga sumaku wa dunia ni kinga muhimu kwa uhai wote duniani. Dunia inapigwa muda wote na mnururisho kutoa jua kwa njia ya "[[upepo wa jua]]". Mnururisho huo ni nuru pamoja miale ya hatari. Uga sumaku unakengeusha sehemu kubwa ya mnururisho hatari hadi unapita kando la dunia na kutofika kwenye uso wa dunia.
 
Uga sumaku wa dunia ni [[kinga]] muhimu kwa uhai wote duniani. Dunia inapigwa muda wote na [[mnururisho]] kutoakutoka jua kwa njia ya "[[upepo wa jua]]". Mnururisho huo ni [[nuru]] pamoja miale ya hatari. Uga sumaku unakengeusha sehemu kubwa ya mnururisho hatari hadi unapita kando laya dunia na kutofika kwenye uso wa dunia.
== Dunia kama mahali pa maisha ==
 
== Dunia kama mahali pa maishauhai ==
Dunia yetu ni sayari pekee inayojulikana mpaka sasa ambapo binadamu na viumbe vingine vinaweza kuishi. Hapa kuna sababu mbili
# dunia yetu ina umbali na jua unaofaa kwa maisha kwa sababu sayari zilizoko karibu zaidi na jua (k.m. [[Zuhura]]) zina joto kubwa mno na sayari zilizoko mbali zaidi kama [[Mrihi]] ni baridi mno.
# dunia yetu ina [[angahewa]] yenye asilimia 78 ya [[naitrojini]], asilimia 21 ya [[oksijini]] na asilimia 1 ya aina nyenginezonyinginezo za [[hewa]], na kwa sababu hii uhai na maisha yanamakinika katika ardhi, kinyume na sayari nyenginezonyinginezo.
 
== Uso wa dunia ==
Sehemu kubwa kabisa ya dunia inafunikwa na [[bahari]], kwani takriban asilimia 70 ya uso wake unafunikwa na [[maji ya bahari]] na kutokana na maji yote yaliyokuwepo ardhini, asilimia 97 ni maji ya bahari, na asilimia 3 ni [[maji matamu]]. [[Theluthi]] inayobaki ni nchi kavu kwenye [[mabara]] mbalimali na visiwa vingi.
 
Sura ya dunia ni kilomita mraba 510,066,000 kilomita mraba, ikiwa nchi kavu imechukuwaimechukua eneo la kilomita mraba 148,647,000 kilomita mraba na maji yamechukuwayamechukua eneo la kilomita mraba 361,419,000 kilomita mraba.
 
{| {{mezamaridadi}}
Line 100 ⟶ 108:
 
== Angahewa ==
Hewa iliyoko juu ya ardhi vile vile ina tabakamatabaka mbalimbali, na kila tabaka inalina kazi yake. Hewa kwa jumla ina masafa ya kiasi cha kilomita 560 au [[maili]] 348 kuendea juu, na baada ya hapo unaingia kwenye anga yala nje. Hewa hiihiyo ndiondiyo inayotukinga sisi viumbe na madharama[[dhara]] ya jua na mnururisho wa angani ambao unaingia anga la dunia na kuteremka chini.
 
== Tazama pia ==
Line 106 ⟶ 114:
* [[Madhara ya ongezeko la joto Duniani]]
 
==MarejeoTanbihi==
<references/>
 
== KujisomeaMarejeo ==
*Cesare Emilliani: Planet Earth. Cosmology, Geology, and the Evolution of Live and Environment. Cambridge University Press 1992, ISBN 0-521-40949-7
*Comins, Neil F. (2001). Discovering the Essential Universe (2nd ed.). W. H. Freeman. Bibcode:2003deu..book.....C. ISBN 0-7167-5804-0.
 
==Viungo vya Njenje==
{{Sister project links |Earth |commons=Category:Earth}}
* [http://solarsystem.nasa.gov/planets/profile.cfm?Object=Earth Earth&nbsp;– Profile]&nbsp;– [http://solarsystem.nasa.gov/ Solar System Exploration]&nbsp;– [[NASA]].
Line 125 ⟶ 133:
** [https://www.youtube.com/watch?v=l6ahFFFQBZY Video (00:27)]&nbsp;– Earth and [[Aurora (astronomy)|Auroras]] (time-lapse).
 
{{mfumo wa jua na sayari zake}}
{{mbegu-sayansi}}
 
[[Jamii:Sayari]]
[[Jamii:Dunia]]
 
[[new:बँग्वारा]]