Waha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
Kabila la Waha limetokana na mtawanyiko wa makabila ya Warundi na Wahaya, kipindi cha kuhamahama kwa ajili ya kutafuta masilahi kama vile chakula na vita. Baada ya kufika kandokando mwa [[ziwa Tanganyika]] na maeneo yote yanayolizunguka Ziwa Tanganyika waliweza kukaa na kuanzisha shughuli mbalimbali kama vile kilimo, uvuvi, ufugaji na uwindaji.
Waha walipoanza kuyazoea mazingira, walijigamba na kujidai kwa makundi ya kikoo kuwa yana nguvu, kila
Kilimo cha Waha ni Mahindi, maharage, ndizi, kahawa, mhogo, karanga, mbaazi, njegere, viazi mviino, viazi vitamu, mtama, ulezi, mahore, miwa, mpunga,korosho,n.k
|