Mbawakawa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza majina ya Kiswahili |
dNo edit summary |
||
Mstari 17:
* [[Polyphaga]]
}}
'''Mende-kibyongo''' au '''kombamwiko-kibyongo''' ni jina la kawaida la [[wadudu]] wadogo hadi wakubwa ya [[oda]] [[Coleoptera]]. Kwa kawaida [[kiunzi nje]] cha wadudu hawa ni kigumu sana. Hata [[bawa|mabawa]] ya mbele yamekuwa kama [[gamba|magamba]] magumu na pengine magamba haya
Oda ya Coleoptera ni kubwa kuliko oda zote za [[mnyama|wanyama]] na ina zaidi ya [[spishi]] 400,000. Spishi nyingi bado hazijafafanuliwa na wataalamu wanakisia kwamba jumla ya spishi itazidi milioni moja na kwamba 25% ya spishi zote za wanyama ni Coleoptera. Kwa sasa karibu na 40% ya spishi za nyama zilizofafanuliwa ni Coleoptera. Lakini karibuni hivi wanasayansi wameanza kumaizi kwamba oda hii si [[monofiletiki]], yaani haina mhenga mmoja tu. [[Nusuoda]] ya [[Adephaga]] inaweza kuwa oda na labda makuni mengine ya Coleoptera yatapewa oda zao.
|