Dola-mji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Dola-mji''' ni [[dola]] ambalo eneo lake ni [[mji]] mmoja pekee.
Katika [[historia]] kuna mifano mingi ya dola-miji. Mwaka [[2015]] kulikuwa bado na miji mitatu
Pamoja nayo kuna pia madola au majimbo ndani ya nchi za [[shirikisho]] yanayoweza kuitwa "dola-mji". == Dola-mji wa kujitegemea kabisa ==
Line 10 ⟶ 12:
* [[Vatikano]]
Wakati mwingi [[Kuwait]] huitwa pia "Dola-mji" kwa sababu karibu wakazi wote wa dola huishi katika [[mazingira]] ya Kuwait mjini. Lakini nchini kuna miji midogo mingine
== Dola mji kama jimbo la kujitawala ndani ya shirikisho ==
Line 24 ⟶ 26:
== Dola-miji katika historia ==
Dola miji ilikuwa muhimu sana katika nchi nyingi kihistoria. Hasa wakati ambapo katika nchi fulani
▲Dola miji ilikuwa muhimu sana katika nchi nyingi kihistoria. Hasa wakati katika nchi fulani hakuna serikali ya juu miji ilijitawala kabisa na kushindana na miji mingine na falme.
=== Dola-miji katika karne ya 20 ===
[[Karne ya 20]] ilikuwa na dola-
* [[Fiume]] ([[Rijeka]]) katika [[Kroatia]] ya leo
* [[Trieste]] katika [[Italia]] ya leo
* [[Danzig]] ([[Gdansk]]) katika [[Poland]] ya leo
* [[Memel]] ([[Klaipeda]]) katika [[Lithuania]] ya leo
=== Dola-miji ya zamani ===
* Miji ya [[Waswahili]] kwenye [[pwani]]
* Miji ya [[Uarabuni]] ilijitegemea kabisa kwa muda mrefu, kwa mfano [[Maka]] na [[Madina]].
* [[Ugiriki ya Kale]] ilikuwa na dola-miji
* Katika [[Italia]] ya [[nyakati za kati]] miji muhimu ilijitawala kabisa. Kati ya dola-miji iliyoweza kupanua eneo lao ni hasa [[Genova]] na [[
* [[Dola la Ujerumani]] lilikuwa na dola-miji mingi hadi [[karne ya 19]]. Iliyobaki hadi leo na hali ya pekee ndani ya shirikisho la jamhuri ni [[Hamburg]] na [[Bremen]]. Mji wa [[Berlin]] ambao leo ni jimbo la kujitegema haukuwa dola-mji katika historia.
*[[Hanse]] ilikuwa shirikisho la miji ya [[biashara]] katika [[Ulaya]] ya Kaskazini na miji hii kwa jumla ilijitawala.
== Viungo vie nje ==
|