Mbingu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 91 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q527 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
<small><small>''Kwa mbingu kama uwazi juu tunayoona juu ya uso wa ardhi penye mawingu, jua na nyota tazama [[anga]]''</small></small>
 
'''Mbingu''' ni upeo wa [[Mungu]] au [[miungu]] katika mafundisho ya [[dini]] nyingi. Mara nyingi humaanisha pia upeo wa kiroho ambako [[nafsi]] za wafu hufikiahuweza kufikia baada ya [[kifo]].
 
Watu walioishi zamani, wakitegemea [[macho]] yao pekee, waliona mara nyingi ya kwamba mbingunimbingu niziko juu yetu, na tukitazama [[anga]] tunaona mwanzo wa mbingu kama [[mahali]] pa Mungu.
 
Lakini tangu kale watu wengine waliona ya kwamba mbingu si mahali maalumu, bali zaidi [[hali]] au upeo ambao ni tofauti kulikona mahali popote tunapojua au tunapoweza kutambua.
 
== Anga na mbingu ==
Katika [[lugha]] ya kila siku maneno "[[anga]]" na "mbingu" mara nyingi yanatumiwa kwa maana moja: "MawinguMa[[wingu]] yanatembea angani - mawingu yanatembea mbinguni". Lakini mbingu huwa na maana ya ziada yaani ya kidini kwa kutaja pia upeo wa Mungu au hali inayopita maarifa ya duniani: "hapa ninajisikia kama mbinguni" ni tofauti sana na "hapa najisikia angani". Katika wikipedia hii tunatumia neno "mbingu" zaidi kwa maana ya kidini.
 
Lakini mbingu huwa na maana ya ziada, yaani ya kidini, kwa kutaja pia upeo wa Mungu au hali inayopita maarifa ya [[dunia]]ni: "hapa ninajisikia kama mbinguni" ni tofauti sana na "hapa najisikia angani".
{{mbegu}}
 
Katika [[wikipedia]] hii tunatumia neno "mbingu" zaidi kwa maana ya kidini.
 
{{mbegu-dini}}
 
[[Jamii:Dini]]