Yohane Mbatizaji : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|ru}} using AWB (10903)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Folio 109v - The Baptism of Christ.jpg|thumb|200px|Yohane ambatizaakimbatiza Yesu ([[mchoro]] wakutoka Kifaransa[[Ufaransa]] mnamo [[karne ya 15]])]]
'''Yohane Mbatizaji''' (7 [[7 K.K.]] - [[29]] [[B.K.]] ?hivi) alikuwa [[nabii]] wa Kiyahudi[[Uyahudi]] aliyeishi wakati wa [[Yesu]] wa [[Nazareti]]. Kufuatana na Luka 1-2 Yohane na Yesu walikuwa ndugu na mama zao walikuwa wazito wakati mmoja.
 
Kufuatana na [[Injili ya Luka]] 1-2 Yohane na Yesu walikuwa [[ndugu]] na [[mama]] zao walikuwa [[mja mzito|wazito]] kwa wakati mmoja.
Habari zake zinapatikana katika Biblia na pia kwa [[Yosefu mwanahistoria]].
 
Habari zake zinapatikana katika [[Biblia ya Kikristo]] na pia kwa [[vitabu]] vya [[Yosefu mwanahistoria]].

Anaheshimiwa na [[Wakristo]] na [[Waislamu]] kama [[mtakatifu]].

Pengine [[sikukuu]] yake muhimu zaidi ni ile ya kuzaliwa (inayoadhimishwa na [[Kanisa la magharibi]] tarehe [[24 Juni]]), lakini ipo pia sikukuu ya [[kifodini]] chake.
 
== Utoto ==
 
Kadiri ya [[Injili]] ya [[Luka mwinjili|Luka]] alizaliwa kimuujizaki[[muujiza]] na [[kuhani]] [[mzee]] [[Zakaria (Injili)|Zakaria]] na [[mke]] wake [[tasa]] [[Elizabeti (Injili)|Elizabeti]].
 
Bado utotoni[[mtoto]] alikwenda kuishi jangwani[[jangwa]]ni, labda kutokana na [[kifo]] cha [[wazazi]].
 
[[Wataalamu]] mbalimbali wanadhani alikuwa akiishi kati ya [[Waeseni]], wafuasi wa [[madhehebu]] ya Kiyahudi yenye [[itikadi kali|msimamo mkali]] hata kuliko ule wa [[Mafarisayo]].
 
== Mhubiri katika jangwa ==
 
AlipofikaAlipofikia [[utu uzima]] alianza kuhubiri "''[[mwaka]] wa [[kumi na tano]] wa [[utawala]] wa [[Kaisari Tiberio'']]" (Luka 3,1) yaani mnamo [[27]]/29 BK.
 
Yohane alikuwa [[mhubiri]] aliyewaonya kwa [[ukali]] wasikilizaji wake na kudai wajiandae kwa [[hukumu]] ya [[Mungu]].
 
Akawakaribisha wapate [[ubatizo]] wa [[maji]] kama [[alama]] ya mtakaso[[utakaso]] na [[mwanzo]] mpya wa [[maisha]].
 
[[Injili ya Mathayo]] katika [[sura]] ya 3 yasimuliainasimulia: "''4 Yohane alivaa [[vazi]] lililoshonwa kwa [[manyoya]] ya [[ngamia]], na [[ukanda]] wa [[ngozi]] kiunoni[[kiuno]]ni mwake. [[Chakula]] chake kilikuwa [[nzige]] na [[asali ya mwituni]]. 5 Basi, watu kutoka [[Yerusalemu]], kutoka [[mkoa]] wote wa [[Yudea]] na sehemu zote za kandokando ya [[mto Yordani]], walimwendea, 6 wakaziungama [[dhambi]] zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.''"
 
[[Ubatizo wa Bwana|Alimbatiza pia Yesu]] ambaye naye baadaye akaanza kuhubiri.
 
Hivyo katika Injili Yohane anatazamwa kama [[mtangulizi]] wakewa Yesu aliyetangaza ujio wake kama "[[Mwanakondoo]] wa [[Mungu]] aondoaye [[dhambi]] ya [[ulimwengu]]" na atakayebatiza kwa [[Roho Mtakatifu]].
 
== Kifo cha Yohane ==
 
Yohane katika mahubiri yake alipinga matendoma[[tendo]] ya [[mfalme]] [[Herode Antipa]] akakamatwa naye.
 
Kufuatana na [[Injili ya Marko]] sura ya 6 aliuawa alivyotaka [[Herodia]] mke wa mfalme, akakatwa [[kichwa]] kilichopelekwa katika [[sinia]] au [[bakuli]] mbele ya mfalme na [[wageni]] wake wakiwa wanasherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa.
 
== Wafuasi wa Yohane ==
Line 38 ⟶ 42:
Yohane alikuwa pia na kundi la wafuasi walioendelea kama ushirika baada ya kifo chake.
 
[[Dini]] ya [[Wamandei]] inadai kuwa imetokana na ushirika huo na katika [[Kurani]] wanaitwa "sabiyuna" au wabatizaji.
== Yahya katika Kurani ==
 
Yohane anatajwa kwa [[heshima]] katika Kurani pia, kwa [[jina]] la [[nabii]] Yahya (يحيى بن زكريا ''Yahya ibn Zakariya'').
 
[[Picha:St johns head.jpg|thumb|Kichwa kimojawapo kinachosemekana ni cha Yohane kanisanikatika mjini[[kanisa]] mojawapo [[mji]]ni [[Roma]].]]
 
== Fuvu la kichwa ==
 
Kichwa cha Yohane kiliaminiwa kiliwezakimeweza kutunzwa kikaheshimiwa kama [[salia]] takatifu.
 
Kuna vichwa mbalimbali vilivyotajwa kuwa kichwa cha Yohane.
 
[[Kaburi]] moja la kichwa kipo mjini [[Dameski]] kilipokuwa ndani ya [[kanisa kuu]], na baada ya Waislamu kubomoa kanisa kaburi lilitunzwa na liko sasa ndani ya [[msikiti wa Umawiya]].
 
Kichwa kingine kinachotwakinachoitwa ni cha Yohane chaonyeshwa katika kanisa la "San Silvestro in Capite" mjini [[Roma]]; kingine huko [[Amiens]] ([[Ufaransa]]).
 
Kuna pia [[mikono]] ya Yohane inayoonyeshwa mahali mbalimbali.
 
== Marejeo ==