Udongo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d masahihisho madogo |
||
Mstari 1:
[[File:Lössacker.jpg|thumb|Udongo aina wa "Loess" kwenye mashamba ya Ujerumani ya kaskazini]]
[[File:tabaka za udongo.jpg|thumb|Umbopande la udongo ni kanda zenye tabia mbalimbali zilizosababishwa na
'''Udongo''' (pia: ardhi) ni sehemu ya juu kwenye uso wa nchi ambako mimea huweza kuota. Nao hutumiwa kwa kilimo.
Udongo wenyewe ni mchanganyiko wa vipande vidogo vya [[Mwamba (jiolojia)|mwamba]] na [[madini]] yaliyosagwa pamoja na mata ogania kama [[mboji]] (mabaki ya mimea na wanyama yaliyooza) na pia wadudu na vijidudu vinavyoishi ndani yake. Udongo huwa pia na [[hewa]] na [[maji]] ndani yake
Kiasi chake kikubwa ni vipande vidogo vyenye asili ya mwamba au madini. Mwamba huvunjwa na maji, upepo na kutokana na
Udongo hupatikana kama tabaka juu ya mwamba unaofanya [[ganda la dunia]]. Mpaka wa chini wa udongo ni pale ambako mwamba mtupu unaanza; mpaka wa juu ni uso wa ardhi. Tabaka la udongo
==Matabaka ya udongo==
Mstari 16:
'''A) Udongo wa juu:''' Tabaka ya udongo yenye kiasi kikubwa cha mada ogania ndani yake. Ndani yake kuna [[minyoo]] na vijidudu wengi wanaoendelea kula na kubadilisha mabaki ya majani yaliyomo mle kuwa madini au [[kampaundi ogania]] sahili zaidi. Kwa kazi yao wanasababisha kuwepo kwa mashimo na nafasi ndogo ndani ya udongo wa juu. Nafasi hizi zinasaidia kuingia na kutoka kwa gesi na kiowevu. Kutokana na uwingi wa viumbehai hivi vidogo udongo wa juu una uwezo wa kutunza maji ya mvua ndani ya nafasi zake. Hii yote ni muhimu kwa kustawi wa mimea inayotandiza hapa mizizi yao.
Kwa lugha nyingine kuwepo kwa viumbehai hivi vidogo ni muhimu kwa
Katika tabaka la udongo wa juu maji ya mvua
'''B) Udongo wa chini:''' katika tabaka hii madini yaliyoyeyushwa katika udongo wa juu
'''C) Mwamba mzazi:''' hii ni tabaka ya mwamba
Mizizi mirefu ya miti inaendelea kufika hadi sehemu ya juu ya mwamba mzazi na kutafuta hapa madini yeyushi
== Marejeo ==
|