Nge : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 19:
*[[Scorpionoidea]]
}}
'''Nge''' au '''akrabu''' (kutoka [[Kiarabu]] [[:ar:عقرب|عقرب]]) ni [[arithropodi]] wa [[oda]] [[Scorpiones]] katika ngeli [[Arakinida|Arachnida]]. Spishi ndogo huitwa '''visusuli''' pia. Kama arakinida wote wana [[mguu|miguu]] minane. [[Pedipalpi]] zao ni kubwa na zina gando, na mkia ni mrefu na una msumari mkubwa mwishoni kwake. Kama kawaida kiwiliwili chao kina sehemu mbili: [[kefalotoraksi]] ( [[w:cephalothorax|cephalothorax]]: [[kichwa]] na [[kidari]]) na [[fumbatio]] lakini zimeungwa vipana, siyo kwa [[pediseli]] ([[w:pedicel|pedicel]]) nyembamba kwa umbo wa mrija kama kwa [[buibui (Arithropodi)|buibui]]. Mgongo wa kefalotoraksi ni
== Picha ==
|