Vita Kuu ya Pili ya Dunia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured |
|||
Mstari 12:
Mwezi wa Aprili 1940 Waingereza walianza kupeleka wanajeshi '''[[Norway]]''' wakiwa na shabaha ya kuzuia kupelekwa kwa madini ya chuma kutoka [[Sweden]] kwenda Ujerumani kupitia mabandari ya Norway. Wajerumani walichukua nafasi hii kuteka '''[[Denmark]]''' na Norway na kufukuza Waingereza.
'''Mei [[1940]] Wajerumani walishambulia Ufaransa''' pamoja na nchi za [[Uholanzi]], [[Ubelgiji]] na [[Luxemburg]]. Vita hii ilikwisha haraka Wajerumani walishinda na kupiga pia kikosi cha Waingereza huko Ufaransa. Baadaye walisitasita kushambulia Uingereza
Mwisho wa 1940 Waitalia walianza kuwashambulia [[Ugiriki]] na jeshi la [[Uingereza|Waingereza]] huko [[Misri]] na [[Malta]]. Lakini mahali pote walirudishwa nyuma hadi kiongozi Mjerumani [[Adolf Hitler]] aliamua kuwasaidia Waitalia na kupeleka wanajeshi Wajerumani kwenda [[Afrika ya Kaskazini]] pamoja na Ugiriki mwaka [[1941]]. Hii ilisababisha pia Wajerumani kuteka [[Yugoslavia]] wakiwa njiani kwenda Ugiriki.
|