Boga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 24:
Kilimo cha maboga marekani kama ilivyo zao maalumu huko marekani kilogrammu ilioni 680 za maboga huzalishwa kila mwaka, majimbo yanayoongoza kuzalisha maboga huko marekani ni pamoja na Illinois, inainna, ohio, califania, na Pennsylvania, kulingana na idara ya kilimo ya illlinors, 95% ya maboga yanayofanyiwa utayarishaji wa ndani hutokea Illonois.
 
Maboga ni mazao ya msimu wa joto, ambayo hupandwa mwanzoni mwa mwezi julai, udongo unaotakiwa ni ule ambao kwa kina cha sm 7.62 iwe na joto la 155 c, na udongo unaotunza maji vyema maboga huweza kuzulika kama kukiwa na upungufu wa maji au kukiwa tu kuna joto dogo mno, na udongo ambao hauchuji maji vizuri, maboga hata hivyo ni magumu kwelikweli kama majani yake mengi yakiondolewa au kuharibiwa mmea unaweza kkuakukua haraka na majani hukua tena haraka.kufidia yale yaliotolewa maboga huzalisha maua yote, ya kike na kiume nyuki hufanya kazi kubwa ya uchavushaji maboga yalifahamika kihistoria kuwa yanachavushwa na nyuki wa maboga (peporapis proinosa) lakini nyuki huwa wameadimika mno.
Sasa kutokana na magonjwa mengi ya mimea na leo maboga wengi huchemswa na nyuki wa asali mzinga mmoja wa nyuki kwa ekali moja hushauriwa na idara ya kilimo ya marekani kama nyuki wakiwa wachache wakulima huchavusha kwa mikono yao wenyewe maboga yasiochavushwa ipasavo husahasa kabla ya kukomaa. Fungi pia huhusika sana na hali hii.
 
 
Mstari 31:
 
=== Mapishi ===
Maboga yana matumizi mengi sana katika mapishi kwanziakuanzia ganda lake la nnjenje mpaka mbegu, hata maua sehemu nyingi za maboga huliwa. Kwa kawaida na desturi maboga ni chakula zao maarufu sana kwennye sherehe ya watakatifu wote na siku ya shukurani ya mazao, ingawa wengi hununua kutoka madukani bado hata yale kutoka shambani huweza kufanya jukumu vilevile.
 
Kisha kukomaa, Maboga huchemswa, kuokwa, kupikwa kwa mvuke au hata kuchomwa. Huko amerika ya kaskazini na muhimu kwenye tamaduni zao ambao wakati wa mavuno ya kipupwe ya kipupwe huchemsha na kunywa supu yake mwenyewe huko maksiko na marekani mbegu za maboga hukaanwa na kuliwa kama vitafunwa.
 
 
=== Dawa ===
Chuo kikuu cha ‘East china normai ‘ kilifanya tafiti yake kwenye panya wenye kisukari, walio ichapisha julai 2007,’wakisema kuwa kikemikali zinazopatikana kwenye maboga huchangia uchangishwaji wa chhembechembe seli za kongosho zilizo haribika na kupelekea kuongezeka kwa kiasi cha ishilni kwenye damu. Kulingana na kiongozi wa tafiti hiyo kemikali hizo zinaweza kuwa muhimu sana kwa mtu mwenye dalili za kwanza za kisukari na humwaidia tu yale mtu mwenye kisukari cha "type -1"