Kabila : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kabila''' ni jamii ya [[binadamu]] yenye umoja fulani upande wa [[lugha]] na [[utamaduni]], si lazima upande wa [[eneo]] na [[utawala]] wa [[siasa]].
Kwa mfano, katika nchi ya [[Tanzania]] kuna makabila zaidi ya 120, kama vile kabila la [[Wachaga]], la [[Waluguru]] n.k. Nchini Kenya kuna [[Wakikuyu]], [[Waribe]] n.k.
{{mbegu}}
|