Wasukuma : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[File:Bundesarchiv Bild 105-DOA0044, Deutsch-Ostafrika, Einheimische Bevölkerung.jpg|thumb|right|Kijiji kimojawapo cha Wasukuma mwanzoni mwa [[karne ya 20]] ([[1906]] - [[1918]]).]]
'''Wasukuma''' ni [[kabila]] kubwa zaidi nchini [[Tanzania]]: linakadiriwa kufikia watu
==Jina==
Jina "Wasukuma" lina maana ya watu wa upande wa "[[kaskazini]]", lakini maana hii haiwakilishi maana halisi ambayo watu wengi huitafsiri kwa mfano Wasukuma hutumia alama ya utambulisho ([[dira]]) kwa eneo fulani kwa viashirio vya makabila, kwa mfano wa jina kama hili:
==Eneo==
Line 9 ⟶ 10:
Eneo la kaskazini la makazi yao ni katika mbuga maarufu [[Serengeti]]. Familia za Wasukuma wengi sana wamehamia maeneo ya kusini kuelekea [[mkoa wa Rukwa]] ambao baadae umegawanywa na kuzaa [[mkoa wa Katavi]], wakipita maeneo ya kabila la [[Wapimbwe]] na hivyo kufanya makazi katika eneo hili la [[kijiji]] cha Wapimbwe.
Eneo hili linakadiriwa kuwa na ukubwa wa [[mita za mraba]] 910 hadi 1200
[[Mwinuko]] wake unakadiriwa kuwa [[inchi]] [[ishirini|20]] hadi [[arobaini
Kiwango cha juu cha joto hutegemea angalau ni kutoka
[[Idadi ya watu]] inaongezeka kwa [[kasi]] na hivyo pia kuongezeka kwa [[wakulima]] wa [[mboga|mbogamboga]].▼
Wasukuma wamezungukwa na madini mbalimbali. Yafuatayo ni maeneo yaliyo na madini:▼
1. [[Mwadui]] (Huku kuna madini ya almasi ambayo kwa kiwango kikubwa huipatia [[serikali]] [[pesa za kigeni]])▼
2. [[Maganzo]] (Vilevile eneo hili limewekwa kwa ajili ya [[wachimbaji wadogowadogo]] wa almasi, eneo hili liko magharibi ya Mwadui.)▼
==Shughuli za kiuchumi==
Shughuli kuu za kiuchumi kwa Wasukuma ni [[kilimo]], [[uvuvi]], [[ufugaji]] na [[biashara]].
Line 27 ⟶ 30:
Wasukuma pia wanajihusisha sana na kilimo cha mazao ya [[nafaka]] na [[mifugo]] ya aina mbalimbali. Maeneo ya Shinyanga wanalima mazao ya nafaka kama [[mahindi]] na mpunga.
▲[[Idadi ya watu]] inaongezeka kwa [[kasi]] na hivyo pia kuongezeka kwa [[wakulima]] wa [[mboga|mbogamboga]].
▲== Maeneo yaliyo na madini ==
▲Wasukuma wamezungukwa na madini mbalimbali. Yafuatayo ni maeneo yaliyo na madini:
▲1. [[Mwadui]] (Huku kuna madini ya almasi ambayo kwa kiwango kikubwa huipatia [[serikali]] [[pesa za kigeni]])
▲2. [[Maganzo]] (Vilevile eneo hili limewekwa kwa ajili ya [[wachimbaji wadogowadogo]] wa almasi, eneo hili liko magharibi ya Mwadui.)
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
Line 37 ⟶ 36:
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mwanza]]
[[Jamii:Mkoa wa Geita]]
[[Jamii:Mkoa wa Shinyanga]]
[[Jamii:Mkoa wa Simiyu]]
|