Ulemavu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Handicapped Accessible sign.svg|thumbnail|[[Alama]] ya [[jengo]] linalofaa kwa watu wanaotumia [[kiti cha magurudumu]].]]
'''Ulemavu''' ni hali ya kuwa na [[hitilafu]] ya kudumu
==Hitilafu na ulemavu==
[[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) limeunda mfumo wa kupanga alama za ulemavu. Hapa kuna tofauti kati ya
*hitilafu ''(kwa [[
*ulemavu (''ing. disability)'' kama hitilafu inasababisha kukosa uwezo wa kutekeleza shughuli zinazotekelezwa na "watu wa kawaida".
*hasara au kikwazo ''(ing. handicap)'' inayoweza kupatikana kwa mtu mwenye ulemavu akishindwa kutekeleza shughuli katika jamii.
Kwa mfano, [[mtoto]] aliyeambukizwa [[ugonjwa wa kupooza]] ''(ing. cerebral palsy)'' anabaki na hitilafu ya viungo vya miguu: hawezi kuvikunja wala haiwezi
Kukosa uwezo wa kutembea ni ulemavu. Lakini kiwango chake kinaweza kupunguzwa kwa tiba na vifaa vya pekee. Akijifunza kutembea kwa kutumia vyuma vilivyofungwa kando [[file:Pieter Bruegel d. Ä. 024.jpg|thumb|250px|Vilema, [[picha]] ya [[Pieter Bruegel Mzee]], [[Uholanzi]], mnamo 1568.]]
==Ulemavu wa kimwili==
Ulemavu wa kimwili
==Ulemavu wa milango ya fahamu==
Hapo ni hasa hitilafu zinazohusu uwezo wa kuona au kusikia. Kuna pia watu wenye hitilafu za
==Ulemavu wa akili==
Hitilafu mbalimbali katika [[ubongo]] na [[mfumo wa neva]] zinaweza kuonekana katika
*kuchelewa kwa watoto kuketi, kutambaa, kutembea au kusema
*matumizi ya [[lugha]]
*matatizo ya kukumbuka
*matatizo ya kujifunza kanuni za kijamii
*matatizo ya kutambua na kuelewa matatizo na kutafuta [[suluhisho]]
*uhaba wa uwezo wa kujitunza, kama kuvaa, kula na kukuta njia.
Ulemavu wa kiakili unatokea kwa viwango tofauti sana. Mara nyingi hautambuliki hadi mtoto
==Haki za watu wenye ulemavu==
[[Mwaka]] [[2006]] [[Umoja wa Mataifa]] ulianzisha [[Mkataba wa kimataifa kuhusu haki za watu wenye ulemavu]] (UN Convention on the Rights of Persons with Disabilities = UNCRPD) kwa [[shabaha]] ya kulinda na kuboresha hali ya walemavu [[milioni]] 650
Hadi mwaka [[2015]] mataifa 159 yaliutia [[sahihi]] [[mkataba]] huo na 154 kati ya hayo yaliidhinisha hatua hiyo. Mataifa yaliyokubali mkataba huo yamepokea [[wajibu]] wa kuhakikisha [[haki]] sawa za elimu, [[ajira]], kumiliki [[mali]] na [[ndoa|kuoa]] sawa na watu wote. Ni [[marufuku]] kuwatumia bila [[kibali]] kwa [[majaribio ya kiganga]].
Taasisi na shirika mbalimbali zinafuatilia jinsi gani mashariti haya yanatekelezwa na serikali mbalimbali. Katika Afrika ya Mashariki kuna kwa mfano United Disabled Persons of Kenya (UDPK) au Shirikisho la Vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania. ▼
▲[[Taasisi]] na shirika mbalimbali zinafuatilia jinsi gani
Nchini Tanzania katiba ya 1977 ilitambua haki za watu wenye ulemavu na kukataza aina zote za ubaguzi. Mnamo mwaka wa 2004, Wizara ya kazi, Maendeleo ya Vijana na Michezo ilitoa Sera ya Taifa ya watu wenye Ulemavu, inayosisitiza kujitolea kwa wizara hiyo katika kuhakikisha kwamba kuna haki sawa kwa watu wenye ulemavu.▼
▲Nchini Tanzania katiba ya [[1977]] ilitambua haki za watu wenye ulemavu na kukataza aina zote za [[ubaguzi]]. Mnamo mwaka wa 2004, [[Wizara ya kazi, Maendeleo ya Vijana na Michezo]] ilitoa [[Sera ya Taifa]] ya watu wenye
==Michezo ya walemavu==
[[Picha:Wheelchair basketball at the 2008 Summer Paralympics.jpg|250px|thumbnail|[[Mechi]] ya [[mpira wa kikapu]] kwenye [[Paralimpiki]] mwaka [[2008]]]]
Kuna nchi nyingi ambako walemavu wana [[klabu]] za [[michezo]] au kuendesha michezo katika vitengo vya pekee vya klabu za kawaida. Kwa kawaida wanatekeleza michezo ya kawaida lakini kufuatana na kanuni zinazolingana na hitilafu zao.
Kwenye ngazi ya kimataifa kuna mashindano makubwa ambayo ni hasa
Line 46 ⟶ 50:
<references/>
▲==Viungo vya Nje==
{{commons cat|Disabled people}}
*[http://shivyawata.or.tz/ Shirikisho la Vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania SHIVYAWATA - Tanzania Federation of Disabled People’s Organizations]
Line 85 ⟶ 88:
* {{cite journal |last=Longmore |first=Paul |date=July 2009 |title=Making Disability an Essential Part of American History |journal=OAH Magazine of History |volume=23 |pages=11–15|isbn=|issn=0882-228X |doi=10.1093/maghis/23.3.11 |issue=3}}
* {{cite journal | author = Masala C, Petretto DR | title = From disablement to enablement: conceptual models of disability in the 20th century | journal = Disability and Rehabilitation | volume = 30 | issue = 17 | pages = 1233–1244 | year = 2008 | pmid = 18821191 | doi = 10.1080/09638280701602418 | issn = 0963-8288 }}
[[Category:Afya]]
[[Jamii:Ubaguzi]]
|