Msichana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:
[[Picha:Girl--05.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Mzungu]].]]
{{commonscat|Girls}}▼
'''Msichana''' ni [[mwanamke]] ambaye hajafikia [[ukomavu]] wa [[utu uzima]], ni [[kijana]] wa [[jinsia]] ya kike, ijapokuwa si tena [[mtoto]] tu wa [[binadamu]].
{{wiktionary}}▼
Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao [[usiku]] katika [[starehe]] fulani.
Wasichana wadogo bado wana [[miili]] ya kitoto. Haikomai hadi
Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na ma[[ziwa]], maumbo yao sehemu za [[kiuno]]ni na ma[[bega]]ni zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na [[hedhi]].
▲Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi atakapofikia umri wa balehe (huenda wakifika umri wa miaka 11 hadi 13) ambapo miili yao inaanza kukomaa na [[mwanamke]] kamili. Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yao sehemu za kiunoni na mabegani zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na [[hedhi]].
== Tazama pia ==
* [[Mwanamke]]
* [[Mvulana]]
==
▲{{commonscat|Girls}}
▲{{wiktionary}}
* http://www.girlsnames.co.uk/
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php
{{mbegu}}
[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Jinsia]]
|