Uhai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4:
| width = 220
| image1 = Hoh rain forest trees.jpg
| caption1 = [[
| image2 = Grand prismatic spring.jpg
| caption2 = Picha toka
}}
'''Uhai''' kwa maana ya [[biolojia]] ni jumla ya [[tabia]] zinazotofautisha [[kiumbehai]] na [[maada]] kwa jumla.
Kati ya tabia hizo kuna
Uhai unapatikana kwa umbo la viumbehai
== Dunia kama mahali pa uhai ==
[[Dunia]] yetu ni [[sayari]] pekee inayojulikana mpaka sasa ambapo [[binadamu]] na
Kuna sababu mbili:
Mstari 21:
# dunia yetu ina [[angahewa]] yenye [[asilimia]] 78 ya [[naitrojini]], asilimia 21 ya [[oksijini]] na asilimia 1 ya aina nyinginezo za [[hewa]], na kwa sababu hii uhai na maisha yanamakinika katika [[ardhi]], kinyume na sayari nyinginezo.
==Asili ya uhai na uenezi wake==
{{mbegu-sayansi}}▼
Inakadiriwa kwamba dunia ina miaka [[bilioni]] 4.54, na kwamba uhai uliweza kujitokeza juu yake walau miaka bilioni 3.5 iliyopita, baada ya ganda la la nje la dunia ilikauka. Ushahidi wa zamani zaidi ulipatikana huko [[Greenland]] (mabaki ya viumbe hai wa miaka bilioni 3.7 iliyopita). Hata hivyo wataalamu wengine wanakadiria miaka bilioni 4.25 na hata 4.4 iliyopita.
Jinsi uhai ulivyoweza kuanza haijajulikana, ingawa zimependekezwa [[dhana]] mbalimbali.
Hakika, baada ya kuanza, uhai umejitokeza kwa namna nyingi sana ambazo zimeainishwa na [[wanabiolojia]].
Uhai umeweza kustawi au kudumu katika mazingira tofauti sana, lakini zaidi ya 99% za [[spishi]] zote zilizowahi kutokea (zaidi ya bilioni 5) kwa sasa zimetoweka.
Makadirio kuhusu zile zilizopo yanataja spishi [[milioni]] 10 hadi 14: kati ya hizo, milioni 1.2 tu zimechunguzwa, wakati zaidi ya asilimia 90 bado.
[[Jamii:Biolojia]]
|