Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Marejeo: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|dv}} using AWB (10903)
Mstari 101:
== Utumbo mpana ==
 
Chakula kinachotoka katika utumbo mwembamba na kuingia [[utumbo mpana]] huwa ni kile ambacho hakikuweza kumeng’enywa au kile ambacho kimeng’enywa lakini hakikusharabiwa. Sehemu ndogo tu ya chakula kilichomeng’enywa husharabiwa na utumbo mpana. Sehemu kubwa ya maji iliyotokana na mmeng’enyo wa chakula husharabiwa na utumbo mpana. Sehemu iliyobaki ya chakula huelekea kwenye [[rektamu]] na kutolewa nje kupitia njia ya haja kubwa ([[mkundu]]) kama kinyesi.
 
== Tazama Pia ==