Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+viungo
Mstari 1:
[[Picha:Mfumo mmeng'enyo.png|thumb|500px|right|Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula wa Binadamu<br />
Tasfiri: [[utumbo Mwembambamwembamba]] (''small intestine''), [[utumbo mpana]] (''large intestine''), ini[[in]]i (''liver''), [[kongosho]] (''pancrease''), [[ulimi]] (''tongue''), [[tumbo]] (''stomach''), [[tezi za mate]] (''salivary glands''), [[umio]] (''esophagus''), [[puru]] (''rectum''), [[mkundu]] (''anus'')
]]
'''Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula''' ni jumla ya viungo mwilini mwa [[binadamu]] na [[mamalia]] wengine vinavyofanya kazi ya kuingiza [[chakula]] mwilini, kukisagasaga, kukisafirisha ndani ya mwili, kukimeng'enya, kuondoa lishe ya mwili mdami yake, na kuondoa mabaki nje ya mwili. Kwa hiyo mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni njia yote kuanzia [[mdomo]] hadi [[mkundu]].