Wikipedia:Mwongozo (Kumbuka) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 32:
# Si mahali pa kumsifu au kumpinga mtu au kitu chochote. Si mahala pa kusambaza maoni kama ukweli.
#Ni sawa kutaja maoni lakini sharti maoni yaonekana vile tusiyaonyeshe kama ukweli halisi.
# Tusiandike: "Bwana fulani ni mwanamichezo bora wa Afrika". Hii ni hoja, si bayana ya hakika. Kama ni kweli na muhimu, andika ya kwamba "Kuna watu wanaomwona kama mwanamichezo bora wa Afrika". Lakini kama huwezi kutaja
# Tujaribu kuchukua msimamo wa kati yaani tueleze mitazamo na maoni mbalimbali yaliyopo kama ni muhimu.
|