Mkataba wa Versailles : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q8736 (translate me)
img
Mstari 5:
7. Alsasi-Lorrain kwa Ufaransa;
8. Eupen na Malmedy kwa Ubelgiji]]
[[File:The signing of the peace treaty of Versailles.webm|thumb|thumbtime=5|''The Signing of the Peace Treaty of Versailles'']]
 
'''Mkataba wa Versailles''' ulikuwa mapatano ya kimataifa ya kumaliza [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] (1914 - 1918) upande wa [[Ujerumani]]. Mapatano yote yalifikiwa kati ya mataifa washindi pekee na serikali ya Ujerumani ilipaswa kuikubali mwishowe. Ujerumani ikatia sahihi kwa malalamiko lakini ilitishiwa ya kwamba wanajeshi wa washindi wangeingia Ujerumani.