Mfumo wa upumuaji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 7:
Binadamu pamoja na wanyama wa kundi la vetebrata wanaoishi kwenye nchi kavu na kupumua hewa wanachukua hatua tatu ya upumuaji:
*Hatua ya kwanza katika kazi hii ni kuvuta hewa ndani ya [[mapafu]].
*Hatua ya pili ni kubadilishana kwa gesi kunakotokea katika mapafu wakati oksijeni ya hewa inaingia katika damu na dioksidi kabonia inatolewa kutoka damu kuingia katika pumzi ya kutolewa.
*Hatua ya tatu ni upumuo wa ndani ya seli za mwili ambako oksijeni ya hewani inatumiwa.<ref>Pickering, W. Roy. ''Complete Biology''. Oxford [etc.: Oxford UP, 2006. Print 116-127.</ref>
Mstari 18:
*viputo ya mapafu ''(ing. alvioli)''
Baada ya
==Marejeo==
|