Mtume Barnaba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Martyrdom Saint Barnabas.jpg|thumb|right|260px|[[Kifodini]] cha Mt. Barnaba, kutoka ''[[Legenda Aurea]]'' ya [[Jacopo wa Varazze]].]]
'''Mtume Barnaba'''' (jina la awali Yosefu wa [[Kupro
Anajulikana hasa kwa jina la Barnaba (kwa [[Kiaramu]] בר נביא, bar naḇyā, yaani '[[mwana]] wa [[nabii]]'. Lakini [[Luka mwinjili]] ([[kitabu]] cha [[Matendo ya Mitume]] 4:36) [[tafsiri|alilitafsiri]] kwa [[Kigiriki]] υἱός παρακλήσεως, huios paraklēseōs, yaani "mwana wa faraja" au "mwana wa himizo".
Humo tunapata [[habari]] kuwa [[uongofu|aliongokea]] mapema [[Ukristo]], akauza [[shamba]] lake na kuwakabidhi [[Mitume wa Yesu]] mapato yake ili wawasaidie [[maskini]]. Labda kwa sababu hiyo Mitume walimuita [[Barnaba]] (Mdo 4:36-37).▼
==Habari zake katika [[Biblia]]==
▲
Kisha kuheshimiwa hivyo katika [[Kanisa]] la awali huko [[Yerusalemu]], alimtambulisha na kumdhamini [[Mtume Paulo]] muda mfupi baada ya huyo kuongoka huko [[Damasko]] (Mdo 9:26-28).
Line 16 ⟶ 19:
Baada ya hapo hatuna tena habari ya hakika juu yake, ila Mtume Paulo alimtaja kama mfano wa mtu asiye na [[mke]] kwa ajili ya [[uinjilishaji]] ([[1Kor]] 9:16-22).
==Kilichofuata==
Mapokeo yanasema aliuawa kwa ajili ya [[imani]] yake huko [[Salamis]], Kupro, mwaka [[61]].
|