Enameli ya jino : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
kiungo
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Jino muundo.jpg|thumbnail|Nafasi ya enameli kwenye muundo wa jino]]
'''Enameli ya jino''' ni sehemu ya [[jino]] inayoonekana tukifungua [[kinywa]]. Ni [[dutu]] ya [[ufupa]] mgumu sana inayofunika na kulinda kichwa cha jino au [[tajino]].
 
Enameli hii inapatikana kwa meno ya [[binadamu]] na [[wanyama]] wengi pamoja na [[samaki]] kadhaa. Enameli inaweza kuharibika kwa ajali, kutafuna vitu vigumu (kama kung'ata jiwe ndani ya chakula) au kutokana na vyakula na vinjwaji vyenye sukari nyingi vinavyosababishi [[karisi]] (kuoza kwa meno).
 
Enameli inaweza kuharibika kwa ajali, kutafuna vitu vigumu (kama kung'ata jiwe ndani ya [[chakula]]) au kutokana na vyakula na vinywaji vyenye [[sukari]] nyingi vinavyosababisha [[karisi]] (kuoza kwa meno).
 
{{mbegu-anatomia}}
 
[[jamii:meno]]