BBC : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
kigezo
Kaondosha yaliyomo
Mstari 1:
 
{{rediotv
| jina = British Broadcasting Corporation
| picha = BBC.svg
| maelezo_ya_picha = Nembo la BBC
| mji = London
| nchi = Uingereza
| eneo = Kote duniani
| chanzo = 1922
| mwenyewe = Shirika la umma katika Uingereza
| programu = Redio na TV kwa lugha nyingi
| tovuti = www.bbc.co.uk
}}
[[Picha:BBC Broadcasting House Portland Place.jpg|thumb|BBC Broadcasting House, [[London]]]]
The '''British Broadcasting Corporation''' (BBC) ni shirika la utangazaji la [[Uingereza]]. Shirika hili lilianzishwa mwaka 1922 kwa jina la [[British Broadcasting Company Ltd]] kama kampuni binafsi. Baadaye mwaka 1927 lilibadilishwa hadhi yake na kuwa shirika la umma. BBC ndio shirika kubwa la habari kuliko yote duniani likiwa linatoa habari na taarifa mbalimbali kwa njia ya redio, luninga, na Intaneti.
 
Kwa mujibu wa BBC, lengo lake ni kutoa habari, kuelimisha, na kuburudisha. Kauli mbiu yake ni "''Nation Shall Speak Peace Unto Nation''."
 
Shirika hili linaongozwa na [[Bodi ya Magavana]] wanaochaguliwa na [[Malkia]] au [[Mfalme]] wa Uingereza kwa ushauri toka kwa mawaziri wa serikali ya Uingereza. Hata hivyo, BBC inasema katika katiba yake kuwa inafanya kazi zake bila shinikizo toka kwa wanasiasa au wafanyabiashara na kuwa linawajibika kwa wasikilizaji na watazamaji wake tu.
 
== Viungo vya nje ==
* [http://www.bbc.co.uk/swahili/ Tovuti ya BBC]
 
{{commonscat}}
{{mbegu-utamaduni}}
 
[[Jamii:BBC]]
[[Jamii:Televisheni ya kimataifa]]
[[Jamii:Uingereza]]
[[Jamii:Kifupi]]