Mtakatifu Paulo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata)
No edit summary
Mstari 3:
'''Mtume Paulo''' ([[7]]-[[67]] hivi) ni [[mmisionari]] mkuu wa [[Yesu Kristo]] katika [[historia ya Kanisa]].
 
Alitangaza [[Kifo cha Yesu|kifo]] na [[Ufufuko wa Yesu|ufufuko wake]] katika nchi karibu zote zilizopo [[kaskazini]] kwa [[Bahari ya Kati]].
Alimaliza ushuhuda wake kwa [[Yesu]] kwa kufia [[dini]] [[Ukristo|yake]] mjini [[Roma]] chini ya [[Kaisari Nero]].
 
Alimaliza [[ushuhuda]] wake kwa [[Yesu]] kwa kufia [[dini]] [[Ukristo|yake]] [[Mji|mjini]] [[Roma]] chini ya [[Kaisari Nero]].
 
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila tarehe [[29 Juni]] pamoja na ya [[Mtume Petro]].
 
== Maisha kabla ya uongofu ==
Mtakatifu Paulo alizaliwa kati ya miaka 7-[[10]] [[BK]] katika [[familia]] ya [[Wayahudi|Kiyahudi]] ya [[kabila]] la [[Benyamini (Israeli)]] na [[madhehebu]] ya [[Mafarisayo]] iliyoishi katika [[mji]] wa [[Tarsus]] (kwa sasa mji huo uko sehemu ya kusini mashariki ya nchi ya [[Uturuki]]).
 
[[Jina]] lake la kwanza (la [[Kiebrania]]) lilikuwa '''Sauli''', lakini kadiri ya [[desturi]] ya wakati ule alikuwa pia na jina la [[Kigiriki]]: '''Paulos''' kutoka [[Kilatini]] '''Paulus''' (= mdogo). Mwenyewe alikuwa na [[uraia]] wa [[Roma]] kama wananchi wote wa Tarsus.
 
Angali [[kijana]] alisomea [[ualimu wa Sheria]] (yaani wa [[Torati]]) huko [[Yerusalemu]] chini ya [[mwalimu]] maarufu [[Gamalieli]] wa [[madhehebu]] ya [[Mafarisayo]].
Jina lake la kwanza (la [[Kiebrania]]) lilikuwa '''Sauli''', lakini kadiri ya desturi ya wakati ule alikuwa pia na jina la [[Kigiriki]]: '''Paulos''' kutoka [[Kilatini]] '''Paulus''' (= mdogo). Mwenyewe alikuwa na uraia wa [[Roma]] kama wananchi wote wa Tarsus.
 
Akishika [[dini]] yake kwa [[Itikadi kali|msimamo mkali]] akawa anapinga [[Ukristo]] kwa kuwakamata, kuwatesa na hata kuwaua Wakristo, kama vile [[Stefano Mfiadini]].
Angali kijana alisomea [[ualimu wa Sheria]] (yaani wa [[Torati]]) huko [[Yerusalemu]] chini ya mwalimu maarufu [[Gamalieli]] wa [[madhehebu]] ya [[Mafarisayo]].
 
AkishikaAlifanya [[dini]] yake kwa msimamo mkali akawa anapinga [[Ukristo]] kwa kuwakamata, kuwatesa na hata kuwaua Wakristo, kama vile [[Stefano Mfiadini]]hivyo mpaka alipotokewa na [[Yesu Kristo]] mfufuka akiwa [[njia|njiani]] kwenda [[Damaski]], [[Syria]] (kwa umuhimu wake katika [[Historia ya Wokovu]] habari hii inasimuliwa mara tatu katika [[kitabu]] cha [[Matendo ya Mitume]]: 9:1-19; 21:12-18 na 22:5-16). Jibu lake kwa Yesu lilikuwa (Mdo 22:10): "Nifanye nini, Bwana?"
 
== Baada ya uongofu ==
Baada ya kufanya [[utume]] katika mazingira ya [[Kiarabu]], Tarsus na [[Antiokia]] alianza kufanya [[safari]] za kitume, akienda mbali zaidi na zaidi, akilenga kumhubiri [[Yesu]] mahali ambapo bado hajafahamika, hata [[Hispania]].
 
Ilikuwa kawaida yaKEyake kuanzisha ma[[Kanisakanisa]] katika miji mikubwa ili toka huko [[ujumbe]] ufike hadi [[kijiji|vijijini]].
 
Muda wote wa [[utume]] wake Paulo alipambana na [[dhuluma]] kutoka kwa Wayahudi wenzake na matatizoma[[tatizo]] mengine kutoka Wakristo wenye msimamo tofauti na wa kwake, hasa kuhusujuu ya [[haja]] ya kufuata mashartima[[sharti]] ya [[Agano la Kale]] ili kupata [[wokovu]].
 
Hatimaye alikamatwa na wapinzani wake Wayahudi mjini Yerusalemu, lakini [[askari]] [[wakoloni]] walizuia asiuawe.
 
Baada ya hapo alilazimika kukaa gerezani[[gereza]]ni akisubiri [[hukumu]] ya [[Dola la Roma]], kwanza [[Kaisaria Baharini]] miaka miwili, halafu akakata [[rufaa]] kwa [[Kaisari]] akapelekwa Roma, alipofika mwaka [[61]] akakaa miaka miwili tena [[kifungo cha nje]] katika [[nyumba]] ya kupanga.
 
Kisha kufunguliwa (labda kwa sababu washtaki wake hawakuwasili) alisafiri tena ingawa hakuna hakika alielekea wapi.
 
== Kifodini chake ==
Aliuawa nje ya kuta za Roma kwa kukatwa [[kichwa]] wakati wa [[dhuluma]] za [[Nero]] kati ya mwaka [[64]] na [[67]] B.K.
 
Juu ya [[kaburi]] lake lilijengwa kanisa kubwa ambalo liliteketea kwa [[moto]] katika [[karne ya 18]] likajengwa upya na hadi leo linapokea [[hija]] za Wakristo wengi, hasa katika "[[Jubilei]] ya mtume Paulo" iliyotangazwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kwa mwaka [[2008]]/[[2009]].
 
== Maandishi yake ==
{{Agano Jipya}}
Kati ya [[barua]] nyingi alizoandikwa (kwa makanisa ya [[Thesalonike]], [[Korintho]], [[Galatia]], Roma, [[Filipi]], [[Kolosai]], [[Efeso]], kwa viongozi Wakristo kama [[Timotheo]] na [[Tito]], tena kwa [[Filemoni]]), katika [[Agano Jipya]] zinatunzwa 13.
 
Ukubwa na ubora wa mchango wa Paulo unaeleweka tukizingatia kwamba alifanya kazi na kuandika kabla ya vitabu vya Agano Jipya kupatikana. Ndiye aliyeanza kuliandika akipanua mawazo aliyoyapokea katika Kanisa kwa kuzingatia [[Agano la Kale]] na [[mang’amuzi]] yake mwenyewe.
 
Hapo alifafanua vizuri ajabu maisha ya Kikristo kama [[neema]] ya kumshiriki [[Yesu]] kwa [[imani]], [[sakramenti]] na [[juhudi]] za kushinda [[umimi]] hadi kugeuka [[sadaka]] hai, takatifu na ya kumpendeza [[Mungu]].
 
[[Wokovu]] huo, utakaokamilika katika [[ufufuko]] wa [[mwili]], unapatikana katika Kanisa, ambalo Paulo alilitambulisha kama [[bibiarusi]] wa [[Kristo]] na mwili wake.
Line 98 ⟶ 104:
{{mbegu-mtu-Biblia}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa 7]]
[[Jamii:Waliofariki 67]]
[[Jamii:Watu wa Biblia|P]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uturuki|P]]
[[Jamii:Manabii wa Agano Jipya]]
[[Jamii:Mitume katika Ukristo]]
[[Jamii:Wamisionari]]