Wamasoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+tanbihi |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Square compasses.svg|thumb|[[Lebo]] ya Umasoni inahusiana na asili ya chama kati ya wajenzi.]]
[[Picha:Freimaurer Initiation.jpg|thumb|200px|[[Kuingizwa]] katika chama cha Wamasoni [[karne XVIII]]. Lengo la [[ibada]] hiyo ni kuachana na maisha ya awali kwa kuigiza [[kifo]] na [[kuzaliwa upya]] katika maisha ya wanachama.]]
'''Wamasoni''' (
Msingi wake ni [[agano]] kati ya wanachama kwa ajili ya kushirikiana ili kufikia malengo ya pamoja.
Wamasoni wanatamka rasmi kutokuwa na [[ubaguzi]] wowote kati yao na kwa wanaotaka kujiunga nao, kufuatana na taratibu zilizopangwa katika ''Katiba ya waashi huru'' ambayo iliandikwa na [[James Anderson]] mwaka [[1723]] na inakubaliwa na miundo yote ya Kimasoni
Asili ya chama hicho haijulikani kwa hakika, hasa kabla ya mwaka [[1650]]. Vilevile siri inayotawala maisha ya chama, hata kati ya ngazi mbalimbali za waliojiunga, inafanya iwe vigumu kuelewa malengo halisi na [[mbinu]] zinazotumika kuyafikia duniani kote.
Chama kinafanana na [[dini]] yenye [[madhehebu]] na [[ibada]], hata kumbi zake zinaitwa ma[[hekalu]]. [[Mungu]] anaitwa kwa kawaida [[Msanii majengo mkuu]] wa [[ulimwengu]]. [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] (na baadhi ya [[Wakristo]] wengine) hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
==Asili ya Wamasoni==
Asili ya Wamasoni ilikuwa katika
Wakati wa kupokelewa, mwanachama mpya alitoa [[kiapo]] kilichofuatwa na viapo vingine baada ya kupanda ngazi katika ufundi wake.
Katika [[Uingereza]] jumuiya za waashi ziliendelea hata wakati ujenzi wa makanisa makubwa ulipungua na elimu ya ufundi ilisambazwa zaidi tangu kuwepo wa [[uchapaji]] vitabu. Waashi walianza kupokea wanachama wasiokuwa wajenzi lakini waliendelea kujiita "Waashi huru" (ing. Free Masons). Uhusiano kati ya jumuiya za waashi na Ukristo ilibadilika kutokana na [[matengenezo ya kiprotestanti]] kwa sababu viongozi wa Kiprotestant walijaribu kupiga marufuku jumuiya za mafundi zilizoendelea na ibada zenye tabia nyingi za ukatoliki kati yao. Hata hivyo jumuiya ya waashi ziliweza kuendelea kutokana na umuhimu wa ufudi wao. Maandamano kwenye siku za watakatifu yalizuiliwa. ▼
Jumuiya hizo mara nyingi zilikuwa na [[salamu]] na maneno ya siri zilizosaidia kujtambulisha kama ndugu wa jumuiya wakati wa kufika katika [[mji]] mwingine.
Wakati wa [[zama za mwangaza]] fikra za falsafa mpya zilienea na jumuiya za waashi ziliwapa wanachama wao nafasi ya kujadili fikra hizi kwa uhuru zaidi kuliko jamii kwa jumla kwa sababu ya tabia ya kisiri ya mikutano yao. Hapa mawazo ya "dini ya kimantiki" yalitokea na kwa jumla waashi huru kati yao waliunda ibada zilizokazia maadili mema bila kutaja tena mafundisho ya Kikristo hasa. Wanachama walipaswa kukiri imani katika "roho mkuu" bila kutumia tena lugha ya kikristo au kukubali mafundisho ya kikanisa. Walilenga kuunganisha Wakristo wa madhehebu mbalimbali pamoja na Wayahudi na watu waliokataa imani ya kidini yoyote.▼
Katika jamii ya Ulaya ya zama za kati jumuiya zote za mafundi zilikuwa pia na tabia ya kidini; kila mwanachama alipaswa kuwa Mkristo <ref>Hii ilikuwa sababu muhimu ya kwamba [[Wayahudi]] wa Ulaya walizuiliwa kutekeleza kazi nyingi za kifundi maana hawakupokelewa katika jumuiya za mafundi</ref>; kwa kawaida kila jumuiya ilijiweka chini ya ulinzi wa [[mtakatifu]] fulani na kuanza mikutano yao kwa sala na ibada. Mfumo huu wa ufundi ulikwisha polepole.
Kutoka Uingereza Wamasoni walienea hadi Ulaya bara na pia Marekani, baadaye pia katika koloni. ▼
Katika [[Uingereza]] jumuiya za waashi ziliendelea hata wakati ujenzi wa makanisa makubwa ulikuwa umepungua na elimu ya ufundi ilisambazwa zaidi tangu kuwepo wa [[uchapaji]] vitabu. Waashi walianza kupokea wanachama wasiokuwa wajenzi lakini waliendelea kujiita "Waashi huru".
▲
▲Wakati wa [[zama za mwangaza]] fikra za [[falsafa]] mpya zilienea na jumuiya za waashi ziliwapa wanachama wao nafasi ya kujadili fikra
▲Kutoka Uingereza Wamasoni walienea hadi [[Ulaya bara]] na pia [[Marekani]], baadaye pia katika ma[[koloni]] mbalimbali.
Wanaendelea kutumia vyeo vya kale kwa wanachama. Mgeni
▲Wanaendelea kutumia vyeo vya kale kwa wanachama. Mgeni anapokelewa kama mwanagenzi ''(apprentice)'', anaendelea kuwa fundi ''(fellow)'' na mwenyekiti au msimamzi wa jumuiya ya kieneo huitwa gunge ''(master)''. Jumuiya zao za kimahali zinaitwa nyumba ''(lodge)''.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
|