Afrika Kusini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 79:
Zamadamu waliishi katika eneo la Afrika Kusini tangu miaka milioni 3 iliyopita, inavyoshuhudiwa na [[akiolojia]].
[[Binadamu]] wameishi huko kwa miaka 170,000 mfululizo. Wakazi wa muda mrefu zaidi ni [[Wakhoikhoi]] na [[Wasani]], ambao wazagumzumza lugha ya [[jamii]] ya [[Khoi-San]].
Katika [[karne ya 4]] au [[Karne ya 5|ya 5]] walifika [[Wabantu]] ambao waliwazidi nguvu hao wa kwanza.
=== Koloni la Waholanzi kwenye Rasi ===
|