Aljeria : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Replacing Ag-map.png with File:Algeria_CIA_map.png (by CommonsDelinker because: File renamed: File renaming criterion #4: To harmonize the file names of a set of images (
No edit summary
Mstari 1:
{{Infobox_Country|
native_name = الجمهورية الجزائرية الديمقراطية الشعبية<br />''Al-Jumhurīyah al-Jazā’irīyah<br />ad-Dīmuqrāṭīyah ash-Sha’bīyah''|Tagduda Tadzayrit Tugduyant Tagherfant
conventional_long_name = Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Algeria |
common_name = Algeria |
Mstari 11:
national_anthem = ''[[Kassaman|Kassaman <small>(qasaman bin-nāzilāt il-māḥiqāt)]]''<br />(<small>[[Arabic language|Arabic]]: ''[[Kassaman|Twayamini kwa radi inayoharibu]]'') |
official_languages = [[Kiarabu]] |
other languages = [[Kiberber]], [[Kifaransa]] |
capital = [[Algiers]] <ref name=cia>[http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/ag.html CIA World Factbook Algeria] (accessed [[4 Aprili]] 2006)</ref>|
latd=36|latm=42|latNS=N|longd=3|longm=13|longEW=E|
Line 16 ⟶ 17:
government_type= Demokrasia [[Jamhuri]] |
leader_titles = [[Rais]]<br />[[Waziri Mkuu]] |
leader_names = [[Abdelaziz Bouteflika]]<br />[[AhmedAbdelmalek OuyahiaSellal]] |
area_rank = 11th10th |
area_magnitude = 1 E12 |
area = 2,381,740741 |
areami² = 919,595 | <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
percent_water = kidogo sana |
population_estimate = 3239,531500,853000 <ref name=cia/>|
population_estimate_year = 20052015 |
population_estimate_rank = ya 3635 |
population_census= | 37,900,000
population_census_year= | 2013
population_density = 1315.9 |
population_densitymi² = 3337.69 |<!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
population_density_rank= ya 168208|
Ethnic_groups = |
Ethnic_groups_year = |
Line 55 ⟶ 56:
}}
 
'''Algeria''' (pia: ''Aljeria'' ; kwa [[Kiarabu]]: '''الجزائر''' al-Jazā’ir; kwa [[Kiberber]]: ''Dzayer'', ''ⴷⵣⴰⵢⴻⵔ'') au kwa jina rasmi "Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Algeria" ni nchi ya [[Afrika ya Kaskazini]]-Magharibi. Imepakana na [[bahari]] ya [[Mediteranea]], [[Moroko]], [[Sahara ya Magharibi]], [[Mauretania]], [[Mali]], [[Niger]], [[Libya]] na [[Tunisia]].
[[Picha:Algeria CIA map.png|thumb|255px|left|Ramani ya Algeria]]
 
Line 63 ⟶ 64:
 
== Historia ==
Kwa lugha, [[utamaduni]] na [[historia]] Algeria ni sehemu ya dunia ya Kiarabu tangu miaka 1300 iliyopita. Nchi imebaki pia na idadi kubwa (25-30%) ya wakazi wa [[kabila]] la [[Waberber]] ambao kihistoria nindio wenyejiwakazi asilia.
 
[[Mawe]] ya [[maghofu]] ya miji ya kale bado yanaonyesha [[uhusiano]] wake na [[Dola la Roma]] lililoitawala kwa [[karne]] nyingi hadi kuja kwa [[Waarabu]] katikati ya [[karne ya 7]].
 
== Jiografia ==
Sehemu kubwa ya nchi ni [[jangwa]], [[Sahara]] iko upande wa kusini. [[Asilimia]] 20 za eneo la Algeria katikaupande wa [[kaskazini]] ni nyumbanimakao kwa karibu wakazi wote. Maeneo haya ni [[pwani]] ya [[Mediteranea]] na [[milima ya Atlas]].
 
Atlas inapanda hadi [[kimo]] cha [[mita]] 2,308 juu ya [[UB]].
 
Sahara inaanza kusini yakwa Atlas na kanda penyeyenye manyasi[[nyasi]] machachechache, halafu inafuata eneo la matutama[[tuta]] ya mchango[[mchanga]] pasipo na [[mimea]] yote. TenaKusini kusinikwake yaketena ni [[nyanda za juu]] ambazo ni hasa maeneo ya miamba matupu. Kwenye kusini kabisa kuna milima ya [[Ahaggarmwamba|miamba]] inayopanda hadi mita 2,918mitupu.
 
Kusini kabisa kuna milima ya [[Ahaggar]] inayopanda hadi mita 2,918.
Mito ya kudumu iko kaskazini tu sehemu za pwani. Mabonde ya mito ya ndani ni pakavu isipokuwa baada ya mvua mito mikali inajitokeza kwa masaa kadhaa.
 
[[Mito]] ya kudumu iko kaskazini tu, sehemu za pwani. [[bonde|Mabonde]] ya mito ya ndani ni pakavumakavu, isipokuwa baada ya [[mvua]] mito mikali inajitokeza kwa masaama[[saa]] kadhaa.
 
== Hali ya hewa ==
Kanda la kaskazini lina [[hali ya hewa]] inayoathiriwa na Bahari ya Mediteranea. HapaHuko [[halijoto]] kwenye [[Mwezi (wakati)|mwezi]] wa [[Agosti]] ni 25 [[°C]] na 12&nbsp;°C wakati wa [[Januari]].
 
Kwenye sehemu za juu kuna [[baridi]] na hata [[barafu]] kwenye [[majira]] ya Januari lakin ilakini [[joto]] ni kali zaidi wakati wa Julai/Agosti.
 
Kusini ya Atlas inaanza hali ya hewa ya jangwani; halijoto inaweza kucheza zaidi ya 20&nbsp;°C katika siku moja. Wakati wa jotijoto halijoto inapita 40&nbsp;°C lakini wakati wa baridi halijoto inashuka chini ya °C kwenye saa za [[usiku]].
 
Mvua ni haba mno: kuna miaka mfululizo bila [[tone]] hata moja. Katika milima ya Ahaggar kuna [[usimbishaji]] kidogo kutokana na [[ukungu]], kwa hiyo [[miti]] kadhaa na [[mimea]] mingine iko.
 
== Historia ==
[[Historia]] inayojuikanainayojulikana ilianza na [[Waberber]] ambao niwametokana wenyejina mchanganyiko wa wakazi asilia.
 
Tangu mwaka [[1000 KK]] [[Wafinisia]] walianza kufika na kujenga miji yao ya [[biashara]] kwenye pwani ya Mediteranea. Muhimu zaidi kati ya miji yao ilikuwa hasa [[Karthago]] iliyopanua [[utawala]] wake hadi [[Hispania]] na [[Gallia]] ([[Ufaransa]] ya Kusini). Waberber wa bara walijenga milki zao za [[Numidia]] na [[Mauritania ya kale|Mauretania]].
 
Waberber wa bara walijenga [[milki]] zao za [[Numidia]] na [[Mauritania ya kale|Mauretania]].
Katika vita kati ya Karthago na [[Roma ya Kale]] Waberber walisimama upande wa [[Roma]] wakapata [[uhuru]] wao kwa muda kidogo lakini wakati wa [[karne ya 1 KK]] Roma ilianza kutawala eneo la Algeria moja kwa moja.
 
Katika [[vita]] kati ya Karthago na [[Roma ya Kale]] Waberber walisimama upande wa [[Roma]], hivyo wakapata [[uhuru]] wao kwa muda kidogo, lakini wakati wa [[karne ya 1 KK]] Roma ilianza kutawala eneo la Algeria moja kwa moja.
Numidia na Mauretania zilikuwa mashamba ya Roma na sehemu kubwa ya nafaka za [[Italia]] zililimwa hapa. Utawala wa Roma ulivurugika baada ya [[Wavandali]] kutoka [[Ulaya Kaskazini]] kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja. [[Jeshi]] la [[Kaisari]] [[Justiniani I]] wa [[Bizanti]] ilirudisha utawala wa Kiroma, ila tu katika [[karne ya 7]] uvamizi wa Waarabu [[Waislamu]] ulimaliza kipindi cha Kiroma.
 
Numidia na Mauretania zilikuwa ma[[shamba]] ya Roma na sehemu kubwa ya [[nafaka]] za [[Italia]] zililimwa huko.
Kuanzia mwaka [[642]] vikosi vya Waislamu Waarabu kutoka [[Misri]] walishambulia eneo la Afrika ya Kaskazini. Mwanzoni hawakufaulu kuwashinda Wabizanti lakini baada ya uhamisho wa serikali ya ma[[khalifa]] kutoka [[Medina]] kwenda [[Dameski]]] [[Waumawiya]] walikaza jitihada dhidi ya Afrika ya kaskazini.
 
Utawala wa Roma ulivurugika baada ya [[Wavandali]] kutoka [[Ulaya Kaskazini]] kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja.
Mwaka [[670]] jeshi kubwa la Waarabu likaunda mji wa [[Kairuan]] kusini ya [[Tunis]] ya leo na mji huu ulikuwa kitovu cha unenezaji. Walipoenea katika Algeria ya leo walirudishwa na Waberber [[Wakristo]] kwa msaada wa Wabizanti lakini jeshi lililofuata lilishinda na kufikia mwaka [[711]] Afrika ya kaskazini yote (maana nchi za leo Tunisia, Algeria na Moroko) zilikuwa chini ya utawala wa Waarabu. Sehemu kubwa ya Waberber walifanya haraka kujiunga na Uislamu wakasaidiana na Waarabu.
 
Numidia na Mauretania zilikuwa mashamba ya Roma na sehemu kubwa ya nafaka za [[Italia]] zililimwa hapa. Utawala wa Roma ulivurugika baada ya [[Wavandali]] kutoka [[Ulaya Kaskazini]] kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja. [[Jeshi]] la [[Kaisari]] [[Justiniani I]] wa [[Bizanti]] ilirudisha utawala wa Kiroma, ila tu katika [[karne ya 7]] uvamizi wa Waarabu [[Waislamu]] ulimaliza kipindi cha Kiroma.
Matokeo haya yalikuwa chanzo cha mabadiliko makubwa ya kudumu maana yake upanuzi wa lugha ya Kiarabu kati ya wananchi na uenezaji wa Uislamu.
 
Kuanzia mwaka [[642]] vikosi vya Waislamu Waarabu kutoka [[Misri]] walishambulia eneo la Afrika ya Kaskazini. Mwanzoni hawakufaulu kuwashinda Wabizanti lakini, baada ya [[uhamisho]] wa serikali ya ma[[khalifa]] kutoka [[Medina]] kwenda [[Dameski]]], [[Waumawiya]] walikaza [[jitihada]] dhidi yahuko Afrika ya kaskazini.
Historia ya karibuni imeacha kumbukumbu yake inayoonekana katika athira kubwa ya lugha na utamaduni wa [[Kifaransa]] kutokana na [[ukoloni]] wa [[Ufaransa]] kati ya [[1830]] na [[1962]].
 
Mwaka [[670]] [[jeshi]] kubwa la Waarabu likaunda mji wa [[Kairuan]] kusini ya [[Tunis]] ya leo na mji huu ulikuwa [[kitovu]] cha unenezajiuenezaji. Walipoenea katika Algeria ya leo walirudishwa na Waberber [[Wakristo]] kwa msaada wa Wabizanti lakini jeshi lililofuata lilishinda na kufikia mwaka [[711]] Afrika ya kaskazini yote (maana yake nchi za leo za Tunisia, Algeria na Moroko) zilikuwa chini ya utawala wa Waarabu. SehemuHapo sehemu kubwa ya Waberber walifanya haraka kujiunga na Uislamu wakasaidiana na Waarabu.
Kwa Marais wa nchi tangu uhuru, angalia [[Orodha ya Marais wa Algeria|hapa]].
 
Matokeo hayahayo yalikuwa chanzo cha mabadiliko makubwa ya kudumu, maana yake upanuzi wa lugha ya Kiarabu kati ya wananchi na uenezaji wa Uislamu.
Kwa sasa Algeria inajenga upya umoja wa kitaifa baada ya [[vita]] kali ya wenyewe kwa wenyewe iliyoishia mwaka [[2002]].
 
Historia ya karibuni imeacha kumbukumbu yake inayoonekana katika [[athira]] kubwa ya lugha na [[utamaduni]] wa [[Kifaransa]] kutokana na [[ukoloni]] wa [[Ufaransa]] kati ya miaka [[1830]] na [[1962]].
 
Kwa MaraisMa[[rais]] wa nchi tangu uhuru, angalia [[Orodha ya Marais wa Algeria|hapa]].
 
Kwa sasa Algeria inajenga upya [[umoja]] wa kitaifa baada ya [[vita]] kali ya wenyewe kwa wenyewe]] iliyoishia mwaka [[2002]].
 
== Wilaya za Aljeria ==
Line 166 ⟶ 175:
 
== Miji ==
*[[Algiers]]
Mascara-Oran
*[[Annaba]]
*[[Mascara]]-[[Oran]]
*[[Temurssen]]
 
==Watu==
Algiers
Wakazi wengi wana mchanganyiko wa [[damu]] ya Kiarabu na ya Kiberber na wachache ya Kituruki na ya Kiberber; karibu wote (98%) wanafuata [[dini]] ya [[Uislamu]]. [[Wakristo]] ni 1%.
 
[[Lugha rasmi]] ni Kiarabu (72%) na Kiberber (27-30%), lakini wengi sana wanaongea pia [[Kifaransa]].
Annaba
 
Temurssen
 
==Tanbihi==
{{Marejeo}}
 
== Viungo vya Njenje ==
;Serikali
* [http://www.el-mouradia.dz El Mouradia official presidential site] (in French and Arabic)
Line 190 ⟶ 202:
* [http://www.matet.dz/ Ministère de l'Aménagement du Territoire, de l'Environnement et du Tourisme ]
* [http://www.africa.it/algeria/mappa.asp Map of Algeria]
 
 
{{Afrika}}
Line 199 ⟶ 210:
[[Jamii:Nchi za Kiarabu]]
[[Jamii:Nchi za Waberber]]
[[Jamii:Nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa]]