Aljeria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Replacing Ag-map.png with File:Algeria_CIA_map.png (by CommonsDelinker because: File renamed: File renaming criterion #4: To harmonize the file names of a set of images ( |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Infobox_Country|
native_name = الجمهورية الجزائرية الديمقراطية الشعبية<br />''Al-Jumhurīyah al-Jazā’irīyah<br />ad-Dīmuqrāṭīyah ash-Sha’bīyah''|Tagduda Tadzayrit Tugduyant Tagherfant
conventional_long_name = Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Algeria |
common_name = Algeria |
Mstari 11:
national_anthem = ''[[Kassaman|Kassaman <small>(qasaman bin-nāzilāt il-māḥiqāt)]]''<br />(<small>[[Arabic language|Arabic]]: ''[[Kassaman|Twayamini kwa radi inayoharibu]]'') |
official_languages = [[Kiarabu]] |
other languages = [[Kiberber]], [[Kifaransa]] |
capital = [[Algiers]] <ref name=cia>[http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/ag.html CIA World Factbook Algeria] (accessed [[4 Aprili]] 2006)</ref>|
latd=36|latm=42|latNS=N|longd=3|longm=13|longEW=E|
Line 16 ⟶ 17:
government_type= Demokrasia [[Jamhuri]] |
leader_titles = [[Rais]]<br />[[Waziri Mkuu]] |
leader_names = [[Abdelaziz Bouteflika]]<br />[[
area_rank =
area_magnitude = 1 E12 |
area = 2,381,
areami² = 919,595 | <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
percent_water = kidogo sana |
population_estimate =
population_estimate_year =
population_estimate_rank = ya
population_census= | 37,900,000
population_census_year= | 2013
population_density =
population_densitymi² =
population_density_rank= ya
Ethnic_groups = |
Ethnic_groups_year = |
Line 55 ⟶ 56:
}}
'''Algeria''' (pia: ''Aljeria'' ; kwa [[Kiarabu]]:
[[Picha:Algeria CIA map.png|thumb|255px|left|Ramani ya Algeria]]
Line 63 ⟶ 64:
== Historia ==
Kwa lugha, [[utamaduni]] na [[historia]] Algeria ni sehemu ya dunia ya Kiarabu tangu miaka 1300 iliyopita. Nchi imebaki pia na idadi kubwa (25-30%) ya wakazi wa [[kabila]] la [[Waberber]] ambao kihistoria
[[Mawe]] ya [[maghofu]] ya miji ya kale bado yanaonyesha [[uhusiano]] wake na [[Dola la Roma]] lililoitawala kwa [[karne]] nyingi hadi kuja kwa [[Waarabu]] katikati ya [[karne ya 7]].
== Jiografia ==
Sehemu kubwa ya nchi ni [[jangwa]], [[Sahara]] iko upande wa kusini. [[Asilimia]] 20 za eneo la Algeria
Atlas inapanda hadi [[kimo]] cha [[mita]] 2,308 juu ya [[UB]].
Sahara inaanza kusini
Kusini kabisa kuna milima ya [[Ahaggar]] inayopanda hadi mita 2,918.
Mito ya kudumu iko kaskazini tu sehemu za pwani. Mabonde ya mito ya ndani ni pakavu isipokuwa baada ya mvua mito mikali inajitokeza kwa masaa kadhaa.▼
▲[[Mito]] ya kudumu iko kaskazini tu, sehemu za pwani. [[bonde|Mabonde]] ya mito ya ndani ni
== Hali ya hewa ==
Kanda la kaskazini lina [[hali ya hewa]] inayoathiriwa na Bahari ya Mediteranea.
Kwenye sehemu za juu kuna [[baridi]] na hata [[barafu]] kwenye [[majira]] ya Januari
Kusini ya Atlas inaanza hali ya hewa ya jangwani; halijoto inaweza kucheza zaidi ya 20 °C katika siku moja. Wakati wa
Mvua ni haba mno: kuna miaka mfululizo bila [[tone]] hata moja. Katika milima ya Ahaggar kuna [[usimbishaji]] kidogo kutokana na [[ukungu]], kwa hiyo [[miti]] kadhaa na [[mimea]] mingine iko.
== Historia ==
[[Historia]]
Tangu mwaka [[1000 KK]] [[Wafinisia]] walianza kufika na kujenga miji yao ya [[biashara]] kwenye pwani ya Mediteranea. Muhimu zaidi kati ya miji yao ilikuwa hasa [[Karthago]] iliyopanua [[utawala]] wake hadi [[Hispania]] na [[Gallia]] ([[Ufaransa]] ya Kusini).
Waberber wa bara walijenga [[milki]] zao za [[Numidia]] na [[Mauritania ya kale|Mauretania]].
Katika vita kati ya Karthago na [[Roma ya Kale]] Waberber walisimama upande wa [[Roma]] wakapata [[uhuru]] wao kwa muda kidogo lakini wakati wa [[karne ya 1 KK]] Roma ilianza kutawala eneo la Algeria moja kwa moja.▼
▲Katika [[vita]] kati ya Karthago na [[Roma ya Kale]] Waberber walisimama upande wa [[Roma]], hivyo wakapata [[uhuru]] wao kwa muda kidogo, lakini wakati wa [[karne ya 1 KK]] Roma ilianza kutawala eneo la Algeria moja kwa moja.
Numidia na Mauretania zilikuwa mashamba ya Roma na sehemu kubwa ya nafaka za [[Italia]] zililimwa hapa. Utawala wa Roma ulivurugika baada ya [[Wavandali]] kutoka [[Ulaya Kaskazini]] kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja. [[Jeshi]] la [[Kaisari]] [[Justiniani I]] wa [[Bizanti]] ilirudisha utawala wa Kiroma, ila tu katika [[karne ya 7]] uvamizi wa Waarabu [[Waislamu]] ulimaliza kipindi cha Kiroma.▼
Numidia na Mauretania zilikuwa ma[[shamba]] ya Roma na sehemu kubwa ya [[nafaka]] za [[Italia]] zililimwa huko.
Kuanzia mwaka [[642]] vikosi vya Waislamu Waarabu kutoka [[Misri]] walishambulia eneo la Afrika ya Kaskazini. Mwanzoni hawakufaulu kuwashinda Wabizanti lakini baada ya uhamisho wa serikali ya ma[[khalifa]] kutoka [[Medina]] kwenda [[Dameski]]] [[Waumawiya]] walikaza jitihada dhidi ya Afrika ya kaskazini.▼
Utawala wa Roma ulivurugika baada ya [[Wavandali]] kutoka [[Ulaya Kaskazini]] kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja.
Mwaka [[670]] jeshi kubwa la Waarabu likaunda mji wa [[Kairuan]] kusini ya [[Tunis]] ya leo na mji huu ulikuwa kitovu cha unenezaji. Walipoenea katika Algeria ya leo walirudishwa na Waberber [[Wakristo]] kwa msaada wa Wabizanti lakini jeshi lililofuata lilishinda na kufikia mwaka [[711]] Afrika ya kaskazini yote (maana nchi za leo Tunisia, Algeria na Moroko) zilikuwa chini ya utawala wa Waarabu. Sehemu kubwa ya Waberber walifanya haraka kujiunga na Uislamu wakasaidiana na Waarabu.▼
▲
Matokeo haya yalikuwa chanzo cha mabadiliko makubwa ya kudumu maana yake upanuzi wa lugha ya Kiarabu kati ya wananchi na uenezaji wa Uislamu.▼
▲Kuanzia mwaka [[642]] vikosi vya Waislamu Waarabu kutoka [[Misri]] walishambulia eneo la Afrika ya Kaskazini. Mwanzoni hawakufaulu kuwashinda Wabizanti lakini, baada ya [[uhamisho]] wa serikali ya ma[[khalifa]] kutoka [[Medina]] kwenda [[Dameski]]
Historia ya karibuni imeacha kumbukumbu yake inayoonekana katika athira kubwa ya lugha na utamaduni wa [[Kifaransa]] kutokana na [[ukoloni]] wa [[Ufaransa]] kati ya [[1830]] na [[1962]].▼
▲Mwaka [[670]] [[jeshi]] kubwa la Waarabu likaunda mji wa [[Kairuan]] kusini ya [[Tunis]] ya leo na mji huu ulikuwa [[kitovu]] cha
Kwa Marais wa nchi tangu uhuru, angalia [[Orodha ya Marais wa Algeria|hapa]].▼
▲Matokeo
Kwa sasa Algeria inajenga upya umoja wa kitaifa baada ya [[vita]] kali ya wenyewe kwa wenyewe iliyoishia mwaka [[2002]].▼
▲Historia ya karibuni imeacha kumbukumbu yake inayoonekana katika [[athira]] kubwa ya lugha na [[utamaduni]] wa [[Kifaransa]] kutokana na [[ukoloni]] wa [[Ufaransa]] kati ya miaka [[1830]] na [[1962]].
▲Kwa sasa Algeria inajenga upya [[umoja]] wa kitaifa baada ya [[vita
== Wilaya za Aljeria ==
Line 166 ⟶ 175:
== Miji ==
*[[Algiers]]▼
Mascara-Oran▼
*[[Annaba]]▼
▲*[[Mascara]]-[[Oran]]
*[[Temurssen]]▼
==Watu==
▲Algiers
Wakazi wengi wana mchanganyiko wa [[damu]] ya Kiarabu na ya Kiberber na wachache ya Kituruki na ya Kiberber; karibu wote (98%) wanafuata [[dini]] ya [[Uislamu]]. [[Wakristo]] ni 1%.
[[Lugha rasmi]] ni Kiarabu (72%) na Kiberber (27-30%), lakini wengi sana wanaongea pia [[Kifaransa]].
▲Annaba
▲Temurssen
==Tanbihi==
{{Marejeo}}
== Viungo vya
;Serikali
* [http://www.el-mouradia.dz El Mouradia official presidential site] (in French and Arabic)
Line 190 ⟶ 202:
* [http://www.matet.dz/ Ministère de l'Aménagement du Territoire, de l'Environnement et du Tourisme ]
* [http://www.africa.it/algeria/mappa.asp Map of Algeria]
{{Afrika}}
Line 199 ⟶ 210:
[[Jamii:Nchi za Kiarabu]]
[[Jamii:Nchi za Waberber]]
[[Jamii:Nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa]]
|