Kabla ya Kristo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q28200 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
▲'''Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo''' (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka.
[[Hesabu]] hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi [[dunia|duniani]] siku hizi.
Kila [[mwaka]] huhesabiwa kuanzia ule uliodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake [[Yesu Kristo]]. Miaka iliyofuata kuzaliwa kwake hutajwa kwa kuongeza [[Baada ya Kristo]] au kifupi: BK.
Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: ▼
▲Kuhusu [[historia]] ya hesabu hii tazama:
[[Baada ya Kristo|Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"]]
{{mbegu-historia}}
[[Category:Kalenda]]
[[Jamii:Yesu Kristo]]
|