Figo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Kidney section.jpg|thumb|right|Kidney from ''Gray's Anatomy'']]
'''Figo''' ni kiungo cha mwili ambacho kazi yake ni cha kutatanisha, figo zinafanya kazi mbalimbali muhimu katika mwili wa binadamu. Ila kazi yao ya juu ni ya kusawazisha maji ndani ya mwili kwa kuchujia na kusitiri bidhaa za chembechembe (kama vile [[urea]]) na [[minerali]] katika [[damu]] na kuchujia hizo, pamoja na maji na [[mkojo]]. Kwa maana
== Muundo wa figo wa kibinadamu ==
Figo zipo nyuma ya utambi na kipimo chake ni sentimeta 9 mpaka 13 kwa kipenyo, kipimo cha figo ya kushoto ni kikubwa zaidi kidogo kuliko cha kulia. Yapo kwenye ukolezi wa mwiba T12 na L3. Upande wa sehemu za juu ya figo zimehifadhiwa na ubavu wa kumi na moja na wa kumi na mbili, katika kila figo pamoja na tezi ya adrenali zimefunikwa na ngozi mbili zenye mafuta na renal fascia inayosaidia kuimarisha figo. Watu wachache wamezaliwa na figo moja tu, hawa hujulikana kama unilateral agenesis (kwa Kingereza), pia kuna watu wachache waliozaliwa bila figo
{{mbegu-anatomia}}
|