Komori : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 52:
}}
'''Komori''' (kwa [[Kiswahili]] pia: '''Visiwa vya Ngazija'''; kwa [[Kikomori]]: '''قمر, Komori''', kwa [[Kifaransa]]: '''Comores''') ni [[nchi huru]] kwenye [[funguvisiwa]] katika [[Bahari Hindi]] upande wa
[[Jina]] limetokana na [[lugha]] ya [[Kiarabu]] ambapo ''Juzur al-Qamar'' ('''جزر القمر''') linamaanisha "visiwa vya mwezi".
Katika Afrika iko kati ya nchi tatu ndogo kabisa. Ina lugha tatu rasmi ambazo ni [[Kifaransa]], [[Shikomor]] (inayofanana na [[Kiswahili]]) na [[Kiarabu]]. ▼
Katika Afrika iko kati ya nchi tatu ndogo kabisa.
* Pesa: 1 Frank ya Komori (FC) = 100 centimes. 1€ = 491,9677 FC
* Sikukuu ya Taifa: [[4
== Jiografia ==
[[Picha:Cn-map.png|thumb|left|Ramani ya Komori]]
Komori ni sehemu ya bara la [[Afrika]]. Ina pia visiwa mbalimbali vidogo
[[Hali ya hewa]] ni ya [[kitropiki]]. Kuna [[mvua]] miezi yote.
Kitovu cha kisiwa kikubwa Grande Comore ni mlima wa [[volkano]] hai [[Karthala]] mwenye 2,461 m. Safari iliyopita Karthala ililipuka mw. 1977 ikaharibu kijiji kimoja. ▼
▲[[Kitovu]] cha kisiwa kikubwa zaidi (Grande Comore) ni [[mlima]] wa [[volkano]] hai [[Karthala]]
Miji mikubwa ni (Wakazi wa hali ya 2005): [[Moroni (Komori)|Moroni]] 42.872, [[Mutsamudu]] 23.594, [[Fomboni]] 14.966, [[Domoni]] 14.509 na [[Tsémbehou]] 11.552.▼
==Miji==
▲Miji mikubwa ni (
== Watu ==
Watu wa Komori ni mchanganyiko wa [[Waarabu]], [[Madagaska|Wamadagaska]], [[Waafrika]] wa [[bara]] ambao [[babu|mababu]] walikuwa [[watumwa]], [[Wahindi]] na [[Wazungu]] kadhaa.
Kutokana na uhaba wa [[ajira]] Wakomori wengi wamehamia nje, hasa Madagaska. Wakazi wengi ni [[Waislamu]] (98%, hasa [[Wasunni]]), wakifuatwa na [[Wakristo]] (2%). Karibu [[nusu]] ya ▲
Nje ya [[Kifaransa]], [[Kiarabu]] na [[Kimalagasy Sanifu]], kuna lugha tatu za asili ambazo huzungumzwa na Wakomori, yaani [[Kimwali]], [[Kindzwani]] na [[Kingazidja]] ambazo ziko karibu na [[Kiswahili]].
== Historia ==
Visiwa vya Komori vimekaliwa na watu mbalimbali kutoka Afrika na [[Asia Kusini]] katika [[historia]] ndefu. Wana
[[Waswahili]] wa kwanza walifika kama sehemu ya
Kipindi cha kwanza huitwa kipindi cha Dembeni (karne ya 9 -
Wakati wa
[[Kumbukumbu]] ya wenyeji hutaja mara nyingi majina ya Waarabu kutoka [[Yemen]] na [[Saba']] kama mababu wa [[ukoo|koo]] asilia lakini hakuna uhakika kama kumbukumbu hizo zinalingana na historia halisi.
Athira ya Kiarabu na ya Kiislamu ikaongezeka kutokana na biashara ya watumwa, dhahabu na pembe za ndovu kati ya Afrika ya Mashariki na nchi za Kiislamu. Waarabu na Waajemi walijenga vituo kwa ajili ya biashara yao pamoja na [[misikiti]] na kueneza dini ya [[Uislamu]] kwenye visiwa. ▼
▲[[Athira]] ya Kiarabu na ya Kiislamu ikaongezeka kutokana na [[biashara ya watumwa]], [[dhahabu]] na [[pembe za ndovu]] kati ya Afrika ya Mashariki na nchi za Kiislamu
Hata kama Komri si karibu sana na pwani hata hivyo kutokana na mwendo wa upepo ni kituo muhimu cha jahazi kwenye safari kati ya [[Kilwa]] na [[Msumbiji]] iliyokuwa bandari kuu ya dhahabu ya [[Zimbabwe]].▼
Waarabu na [[Waajemi]] walijenga vituo kwa ajili ya biashara yao pamoja na [[misikiti]] na kueneza [[dini]] ya [[Uislamu]] kwenye visiwa.
▲Hata kama
== Siasa ==
Kufuatana na [[katiba]] ya uhuru ya mwaka 1975 Komori ilitangazwa kuwa jamhuri ya Kiislamu. Serikali zilipinduliwa mara kwa mara na [[wanajeshi]] au na [[mamluki]].
Katiba mpya ya mwaka [[2001]] imeondoa tabia ya kidini ya dola na iliunda utaratibu wa [[urais]] kuzunguka kati ya visiwa vitatu vikubwa. Katika muundo huo rais wa jamhuri atateuliwa kila baada ya miaka minne kutoka kisiwa tofauti.
Katika [[uchaguzi]] ya mwaka [[2002]] rais [[Azali Assoumani]] alichaguliwa kutoka kisiwa cha Ngazidja
Rais wa mwaka [[2010]] alitoka katika kisiwa cha Moheli, baadaye tena rais kutoka Ngazidja, n.k.
Katika uchaguzi wa 2010 ndiye [[Ikililou Dhoinine]] aliyepata kura nyingi.
== Uchumi ==
Komori ni kati ya nchi [[maskini]] zaidi duniani. [[Kilimo]], [[uvuvi]],
[[Barabara]] na [[mawasiliano]] ya [[meli]] au [[ndege]] ni haba, idadi ya watu inakua haraka, [[elimu]] ni duni; haya yote
== Viungo vya nje ==
* {{fr}} [http://www.beit-salam.km/ Tovuti rasmi]
* [http://www.anjouan.net/ Anjouan.net]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Visiwa vya Afrika]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
|