Waorthodoksi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
viungo, kunyosha |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Waorthodoksi.png|thumbnail|450px|Maeneo ya Waorthodoksi katika Ulaya na Mashariki ya Kati]]
'''Waorthodoksi''' ni [[Ukristo|Wakristo]] wanaofuata mapokeo ya [[Mitume wa Yesu]] jinsi yalivyostawi kihistoria katika [[Ukristo wa Mashariki]] upande wa mashariki wa [[Dola la Roma]] iliyoitwa pia [[Bizanti]] na nje ya mipaka yake. Leo hii ni
Jina hilo lina asili ya [[Kigiriki]] likitokana na maneno όρθος ("orthos", yaani "nyofu", "sahihi") na δόξα ("doksa", yaani "rai", "fundisho") yaani "wenye fundisho sahihi".
|