Jicho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Menschliches auge.jpg|thumb|Jicho la binadamu]]
[[Picha:Dragonfly eye 3811.jpg|150px|thumb|Macho ya kuungwa ya
'''Jicho''' ni sehemu ya [[mwili]]
▲'''Jicho''' ni sehemu ya mwili inayotuwezesha kuona. Ni ogani inayotambua [[mwanga]] na kutuma habari zake kwa [[ubongo]].
== Aina za macho ya viumbehai ==
Kuna mifumo mbalimbali ya macho kati ya aina mbalimbali
Macho ya kimsingi kwa [[viumbehai]] vidogo yanatambua tu kama [[mazingira |mazingira]] yana mwanga au la. Hata kati ya viumbehai wenye [[seli]] moja
Macho yaliyoendelea kiasi yana [[umbo]] kama [[kikombe]] na hii inawezesha kutambua
[[Wanyama]] wengi huwa na macho yaliyoendelea zaidi: yana uwezo wa kuona picha halisi ya mazingira pamoja na [[rangi]] na [[mwendo]].
[[Picha:Drosophilidae_compound_eye.jpg|thumb||Jicho la
== Macho ya kuungwa ==
[[Wadudu]] na [[arthropoda]]
Macho haya ya kuungwa yanamwezesha mdudu kuangalia [[asilimia]] kubwa ya mazingira yake: kwa aina kadhaa hata nyuma yake. Macho ya kuungwa yanaweza kufunika hadi asilimia 80 ya eneo la [[kichwa]]. Mdudu haoni vikali kama mtu lakini anaona mabadiliko na mwendo haraka sana. Wanyama wanaoishi katika vilindi vya [[bahari]] penye giza nene huwa na macho ambamo [[fuwele]] ziko kama [[kioo]] na kupazia nuru hafifu.
Kuna wanyama wanaoweza kuona nuru ambayo ni nje ya [[upeo]]
== Macho ya mamalia ==
Macho ya [[binadamu]] kama ya [[mamalia]] huwa na lenzi moja tu. Lakini muundo wa jicho unaruhusu kuona rangi, [[umbali]] na mengi madogo.
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Eyes}}
{{mbegu-
<!-- interwiki -->
|