Methali : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
Tengua pitio 952555 lililoandikwa na 197.250.53.4 (Majadiliano) |
||
Mstari 1:
'''Methali''' ni usemi mfupi wa mapokeo unaodokeza kwa muhtasari fikra au mafunzo mazito yatokanayo na uzoefu wa maisha ya jamii husika. Kauli fupi yenye pande mbili za fikra.
Kila [[taifa]] na kila [[kabila]] lina methali zake, baadhi ya methali za [[Kiswahili]] ni kama: Mficha [[ugonjwa]], [[kifo]] humuumbua na mcheza kwao hutunzwa.
==Methali za Kiswahili==
|