Fid Q : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Minor fix using AWB
picha
Mstari 19:
 
==Historia==
[[File:Fid Q at the 2013 Zanzibar International Film Festival.jpg|thumb|Fid Q, 2013]]
===Shughuli za awali (kwa ufupi)===
Fid Q alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 1990. Fid Q alitoa kibao chake cha kwanza mwaka 2000 kiitwacho 'Huyu na Yule' ambacho hicho aliimba na msanii [[Mr Paul]]. Kibao hiki kilimpa heshima kubwa, kibao hicho kilirekodiwa katika studio za [[MJ records]] chini ya usimamizi wake [[Master Jay]] mwenyewe.
Line 30 ⟶ 31:
Fid Q ana albamu mbili kwenye soko la muziki. Albamu ya kwanza inaitwa inayoitwa "[[Vina Mwanzo Kati na Mwisho]]".<ref>[http://babkubwa.com/?p=45 Tovuti inayoonyesha Fid Q kutoa albamu yake mpya - katika Babu Kubwa]</ref> Mwishoni mwa mwaka 2009 alitoa albamu ya pili "PROPAGANDA", ambayo imepokelewa vizuri sana Tanzania na nchi nyingine za Afrika Mashariki. Mashabiki wa Hip Hop wanaichukulia PROPAGANDA kama ni albamu bora kabisa, yaani 'classic'. Hivi karibuni anategemea kutoa albamu yake ya tatu itakayokwenda kwa jina la "KitaaOLOJIA".
 
==Marejeo==]]
{{Marejeo}}