Khalid Mohamed : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tag: Mobile edit
picha
Mstari 1:
[[File:Khalid Mohamed (TID) at the 2015 Zanzibar International Film Festival.jpg|thumb|Khalid Mohamed aka TID, 2015]]
'''Khalid Mohamed''' (Amezaliwa [[1981]], [[Dar es Salaam]]) ni mwanamuziki wa [[Bongo Flava]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Anafahamika zaidi kama T.I.D "Top in Dar", Ameimba nyimbo nyingi maarufu tu nchini [[Tanzania]], Moja kati ya nyimbo hizo ni Mrembo, Zeze, Girl Friend, Siamini na nyingine nyingi tu alizowahi kuimba na baadae kuwa maarufu.