Burundi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 165:
 
Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia.
 
Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura.
 
== Utawala ==