Ghana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 274:
Kusini mwa Ghana kuna misitu ambayo daima ni ya kijani kibichi na ile ambayo hupoteza majani yake wakati fulani wa mwaka ikiwa na miti kama mikangazi, odumu na mipingo. Sehemu hii inayo pia mingi ya mitende ya mafuta na mikoko. Miti ya Shea, mibuyu na mikakaya hupatikana kwa kawaida katika maeneo ya Volta na kaskazini mwa nchi.
==
[[Picha:TamaleGhana2.jpeg|thumb|left|160px|Tamale,Ghana|Barabara ya Bolga, Tamale]]
[[Picha:Ghana Larabanga mosque01.jpg|thumb|right|160px|Msikiti wa Larabanga, uliojengwa katika karne ya 13, Larabanga]]
[[Picha:Wesley Methodist Cathedral, Kumasi, Ghana.jpg|thumb|right|160px|[[Kanisa kuu]] la
Nchi ya Ghana ina idadi ya watu inayokisiwa kuwa milioni 24.
===Makabila=== Ingawa Ghana ni kiambo cha zaidi ya Makabila nchini Ghana ni Akan (ambalo linajumuisha Fante, Akyem, Ashanti, Kwahu, Akuapem, Nzema, Bono, Akwamu, Ahanta na makabila mengine) 49.3%, Mole-Dagbon 15.2%, Ewe 11.7%, Ga-Dangme (likijumuisha Ga, Adangbe, Ada, Krobo na makabila mengine) 7.3%, Guan 4%, Gurma 3.6%, Gurunsi 2.6%, Mande-Busanga 1%, makabila mengine 1.4%, mengine ([[Wahausa]], Zabarema, [[Wafula]]) 1.8% (sensa ya 2000).
Kwa mujibu wa sensa ya serikali ya 2000, migawiko ya kidini ni: Wakristo 69%, Waislamu 16%, imani ya Kiafrika 15%<ref>[http://www.state.gov/g/drl/rls/irf/2007/90100.htm 2007 Report on International Religious Freedom - Ghana]</ref>.▼
=== Lugha ===
[[Lugha rasmi]] ni Kiingereza; hutumika sana katika masuala ya serikali na [[biashara]]. Lugha hiyo vilevile ndiyo inayotumika katika mafundisho ya [[elimu]]. Hata hivyo, Waghana wengi pia huzungumza kwa kiasi [[lugha]] moja ya kikabila.
Ingawa wataalamu wengine wanasema kwamba zaidi ya lugha na lugha ndogo 250 huzungumzwa nchini Ghana, ''Ethnologue'' inaorodhesha 79 tu (angalia pia [[orodha ya lugha za Ghana]]). Lugha ya Kingereza ndiyo lugha rasmi na hutumika sana katika maswala ya serikali na biashara. Lugha hii vilevile ndiyo hutumika katika mafundisho ya kielimu. Lugha za kiasili za Ghana zimegawanywa katika jamii mbili ndogo za kilugha kutokana na jamii ya lugha ya Niger-Congo. Lugha za jamii ndogo ya Kwa zinapatikana zaidi katika maeneo ya kusini mwa Mto Volta, huku zile za jamii ya Gur zikipatikana katika eneo la kaskazini. Kikundi cha Kwa, lugha ambayo huzungumzwa na takribani 75% ya wakazi wa nchi, kinajumuisha lugha za Akan, Ga-Dangme na Ewe. Kikundi cha Gur kinajumuisha lugha za Gurma, Grusi, na Dagbani.<ref>{{Cite book|title=Ghana: A Country Study|editor=LaVerle Berry|year=1995|publisher=Federal Research Division, Library of Congress|isbn=0844408352|url=http://lcweb2.loc.gov/frd/cs/ghtoc.html|pages=81–82}}</ref>▼
Ingawa wataalamu wengine wanasema nchini Ghana huzungumzwa zaidi ya lugha na lugha ndogo 250, ''Ethnologue'' inaziorodhesha 79 tu (angalia pia [[orodha ya lugha za Ghana]]). Lugha za asili za Ghana zimegawanywa katika jamii mbili ndogo kutokana na jamii ya [[lugha za Niger-Congo]].
Lugha tisa zina hadhi ya kuwa lugha zinazodhaminiwa na serikali: Akan, hasa Ashanti Twi, Fanti, Akuapem Twi, Akyem, Kwahu, Nzema; Dagaare/Wale, Dagbani, Dangme, Ewe, Ga, Gonja na Kasem. Ingawa si lugha rasmi, [[kihausa]] ndiyo lugha ya mawasiliano inayozungumzwa na Waislamu wa Ghana<ref>[http://en.wikipedia.org/wiki/Hausa_language Hausa lugha - Wikipedia, kamusi elezo huru]</ref> ambao ni 16% ya wakazi.▼
▲
Lugha tisa zina [[hadhi]] ya kuwa lugha zinazodhaminiwa na serikali: Akan, hasa Ashanti Twi, Fanti, Akuapem Twi, Akyem, Kwahu, Nzema; Dagaare/Wale, Dagbani, Dangme, Ewe, Ga, Gonja na Kasem.
▲
===Dini===
▲Kwa mujibu wa [[sensa]] ya serikali ya 2000,
=== Afya ===
Kufikia mwaka wa [[2009]],
Hesabu ya watoto wanaozaliwa pia ni Asilimia 4.5 ya [[Pato la Taifa == Watu na Utamaduni ==
|