Biashara ya ng'ambo ya Sahara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Image:Oasis-Bilma.jpg|thumb|[[Oasisi]] ya [[Bilma]] mjini kaskazinimashariki mwa [[Niger]], kukiwa na mharara wa [[Kaouar]] kwa nyuma]]
'''Biashara ya ng'ambo ya Sahara''' (vilevile '''Biashara ya Masafa Marefu ya Afrika ya Magharibi''') ilikuwa [[biashara]] iliyohusisha [[Afrika ya Magharibi]] na [[Afrika ya Kaskazini]] kupitia [[jangwa la Sahara]].
Biashara Biashara
Biashara ilikuwa na matokeo kadha wa kadha katika [[historia ya Afrika Magharibi]] na [[Historia ya Afrika|ya Afrika]] kwa ujumla.
==Historia==
==Washiriki==
Washirika wakubwa wa biashara hii walikuwa watu kutoka Mataifa ya Kimagharibi ya Sudani, [[Ghana]], [[Mali]] na [[Songhai]] na baadhi ya watu kutoka mjini Kaskazini mwa Afrika.
===Kutoka Afrika Magharibi===
Ilihusisha kikundi cha [[Wasoninke]], [[Wamandika]], [[Wayoruba]], [[Wafulani]], [[Wahausa
===Kutoka Afrika Kaskazini===
Ilihusisha kikundi cha [[Waarabu]],
==Bidhaa au vitu vilivyokuwa vinauzwa==
[[Bidhaa]] zilizokuwa zinauzwa ni mchanganyiko, lakini vilevile mauzo yaliendana na kanda.
===Kutoka Afrika Magharibi===
Kutoka ndanindani kabisa ya [[misitu]] ya Afrika Magharibi, bidhaa zilikuwa [[dhahabu]], [[fedha]], [[ngozi]] za [[wanyama]], [[pembe za ndovu]], [[nta]] ya [[nyuki]], [[asali]] and vitu vingine vya thamani vilivyoweza
===Kutoka Afrika Kaskazini===
Kutoka Kaskazini,
==Muundo wa biashara==
Biashara ilipangwa kwa mtindo wa misafara kama [[msururu]] ambayo ilianza kutoka kila upande wa Magharibi na Kaskazini mwa Afrika kupitia jangwa la Sahara. Misafara hiyo ilikuwa kama ifuatavyo:
===(a) Msafara wa Magharibi===
Msafara ulianza kutoka [[Sijilmasa]] na [[Fez]] huko nchini [[Morocco]]. Halafu
===(b) Msafara wa Kati===
Msafara ulianza kutoka [[Tunis]] wakapitia [[Ghat]], [[Kano]] kisha ukaenda zake na kupitia jangwani hadi [[Gao]] na mwisho kabisa [[Hausa]].
===(c) Msafara wa Mashariki===
Msafara huu ulianzia mjini [[Tripoli]]
==Sababu zilizopelekea kukua kwa biashara==
[[Image:Caravane hoggar1.jpg|thumb|Msafara wa ngamia wa siku hizi karibu na [[Milima ya Ahaggar]] katikati ya jangwa la Sahara, [[2006]].]]
Ukuaji na uendeleaji wa Biashara ya Ng'ambo ya Sahara iliathiriwa na mambo kadha wa kadha. Miongoni mwa sababu hizo ni
;A) '''Siasa Imara'''
;B) '''Eneo la Kijiografia'''
Mahali penyewe
;C) '''Upatikanaji wa bidhaa'''
Upatikanaji wa bidhaa huko Magharibi na Kaskazini mwa Afrika kulipelekea kukua kwa biashara ya ng'ambo.
;D) '''Utambulishaji wa ngamia kama zana ya kusarishia'''
Ngamia alitambulishwa na Waarabu kama zana kuu ya kusafirishia kupitia jangwa la Sahara katika karne ya 7. Hili lilirahisha shughuli za usafirishaji kupitia jangwani hivyo basi kupelekea ongezeko la ukuaji wa biashara hii.
;E) '''Uwepo wa chemchemi jangwani'''
Haya ni maeneo ya jangwa yenye vyanzo vya [[maji]]. Uwepo wa maeneo haya yenye maji umepelekea upatikanaji wa maji hayo kwa ajili ya ngamia na [[wafanyabiashara]], hivyo kuzidi kuchochea maendeleo ya ukuaji wa kibiashara.
;F) '''Ujio wa Waarabu'''
Ujio wa Waarabu katika Afrika ya Kaskazini hasa kwenye karne ya 7 kulipelekea upatikanaji wa bidhaa mpya kama vile vitu vya [[chakula]], [[mavazi]], ngamia, bunduki na [[unga wa bunduki]]. Katika njiapanda hii, ukuaji wa biashara ukawa hauepukiki tena.
;G) '''Uongozi mzuri wa falme'''
Karibia falme zote hasa huko Afrika Magharibi
==Sababu zilizopelekea kuanguka kwa biashara==
Mwishoni mwa [[karne ya 14]], idadi ya
;A) '''Pepo kali za jangwani'''
Wafanyabiashara wengi walitelekeza biashara zao kwa kufuatia [[upepo]] mkali uliokuwa unavuma jangwani. Pepo hizi zilifanya ugumu sana wa ukuaji na uendelezaji wa biashara.
;B) '''Uvamizi wa Walmoravidi'''
Hawa walikuwa Waarabu
;C) '''Vita vitakatifu'''
Hivi vilikuwa vita baina ya Waislamu na hao
;D) '''Ujio wa
Ujio wa [[Wazungu
;E) '''Kuanguka kwa falme'''
Kuanguka kwa baadhi ya falme, kama vile Ghana na Mali, nako kulichangia kudidimia kwa biashara kutokana na ukweli wa kwamba falme hizi zilitoa mwongozo wa kibiashara kupitia viongozi wao ambao walikuwa wanawasimamia wafanyabiashara.
;F) '''Kuibuka kwa [[Biashara ya utumwa
Kuibuka kwa [[biashara ya pembetatu]] mwishoni mwa [[karne ya 15]] kulichangia
==Matokeo ya biashara ya ng'ambo ya Sahara==
===(i)Utambulisho wa tamaduni mpya===
Biashara ilileta tamaduni mpya kwa Afrika Magharibi na Kaskazini. Miongoni mwa tamaduni hizo ni
===(ii)Ongezeko la watu===
Biashara pia ilipelekea kuongezeka kwa watu katika Afrika Magharibi na Kaskazini hasa kwa ujio wa Waarabu na watu wengine kutoka sehemu mbalimbali.
===(iii)Ukuaji wa miji na vijiji===
Biashara ya Ng'ambo ilichangia kwa kiasi
===(iv)Uenezi wa dini ya Kiislamu===
Biashara pia ilipelekea kuenea kwa dini ya [[Uislamu|Kiislamu]] kwa Afrika Magharibi na Kaskazini kwa ujumla - ambapo baadhi ya Waafrika walitelekeza [[dini asilia za Kiafrika|dini zao za jadi]] na kujiunga na Uislamu.
===(v)Ndoa mseto===
[[Ndoa za mseto]] zilitokea baina ya Waafrika kutoka Magharibi na hao kutoka Kaskazini kwa kufuatia biashara hii. Vilevile ndoa za mseto zilitokea baina ya Waarabu na Waafrika.
===(vi)Ukuaji wa falme/madola===
Biashara pia ilipelekea kukua kwa falme nyingi huko Kaskazini na Magharibi mwa Afrika. Baadhi ya madola na falme hizo ni
===(vii)Kuibuka kwa viongozi na wafanyabiashara wakubwa===
Biashara ya ng'ambo ilipelekea kuibuka kwa viongozi wenye nguvu ([[athira]]/[[ushawishi]]) mkubwa hasa
==Tazama pia==
*[[Biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki]]
Line 79 ⟶ 90:
*[[Historia ya Afrika]]
*[[Historia ya Ghana]]
*[[Historia ya
==Jisomee==
Line 95 ⟶ 106:
[[Jamii:Historia ya Afrika]]
[[Jamii:Biashara]]
[[Jamii:Utumwa]]
|