Tanganyika : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Flag of Tanganyika (1919-1961).svg|thumb|170px|right|Bendera ya koloni ya Tanganyika.]]
[[Picha:Flag of Tanganyika.svg|thumb|170px|right|Bendera ya
'''Tanganyika''' ni jina la kihistoria
Tanganyika ilikuwa [[eneo lindwa]] la [[Uingereza]] kuanzia [[1919]] na nchi huru kati ya [[1961]] hadi [[1964]], mwaka wa kwanza kama [[ufalme]], halafu kama [[jamhuri]].
Mwaka 1964 iliungana na Zanzibar na kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
== Chanzo katika koloni la Kijerumani ==
Maeneo yaliyoitwa baadaye "Tanganyika" yaliunganishwa mara ya kwanza tangu mwaka 1886 kama [[koloni]] la [[Ujerumani]] iliyoitwa [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Kabla ya kufika kwa [[ukoloni]] kulikuwa na madola madogo mbalimbali na maeneo madogo ya kikabila.
Kanda la pwani pamoja na njia za misafara kuelekea [[Ziwa Tanganyika]] vilikuwa chini ya [[athira]] ya [[Usultani wa Zanzibar]].
Tangu 1885 Karl Peters kwa niaba ya Shirika la Ukoloni wa Kijerumani (Gesellschaft für Deutsche Kolonisation) alianza kufanya mikataba na watawala wa kienyeji katika maeneo ya Usagara, Nguru, Useguha und Ukami iliyoweka msingi kwa madai yake ya kuchukua utawala mkuu wa maeneo haya. Uenezeaji wa Wajerumani uliendelea hasa baada ya kushinda upinzani katika [[vita ya Abushiri]] na vita dhidi ya Wahehe.▼
▲Tangu mwaka [[1885]] [[Karl Peters]], kwa niaba ya [[Shirika la Ukoloni wa Kijerumani]] (Gesellschaft für Deutsche Kolonisation) alianza kufanya mikataba na watawala
Koloni ile ya kijerumani ilikuwa kubwa zaidi kuliko Tanganyika ya baadaye maana ilijumlisha pia maeneo ya [[Rwanda]] na [[Burundi]] pamoja na sehemu ndogo ya [[Msumbiji]].▼
Uenezeaji wa Wajerumani uliendelea hasa baada ya kushinda [[upinzani]] katika [[vita ya Abushiri]] na vita dhidi ya [[Wahehe]].
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] (1914 - 1918) koloni hii ya Kijerumani ilitekwa na jeshi za Uingereza na [[Ubelgiji]]. [[Mkataba wa Versailles]] wa 1919 ulikuwa na kanuni za kuchukua koloni zote za Ujerumani na kuzikabidhi kwa mataifa washindi wa vita. Sehemu kubwa ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani iliwekwa chini ya utawala wa Uingereza, kasoro maeneo ya [[Rwanda]] na [[Burundi]] yaliyokabidhiwa mkononi mwa Ubelgiji. ▼
▲Koloni
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] ([[1914]] - [[1918]]) koloni hilo la Kijerumani lilitekwa na ma[[jeshi]] ya Uingereza na [[Ubelgiji]].
== Tanganyika Territory ya Kiingereza baada ya kuondoka kwa Wajerumani ==▼
1919 sehemu kubwa ya koloni ya Kijerumani ilikabidhiwa rasmi mkononi mwa Uingereza kama [[eneo lindwa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kulingana na kifungo 22 cha mkataba wa Versailles. Mwaka 1922 Shirikisho la Mataifa lilithebitisha hatua hii na kuamua masharti ya kukabidhi.▼
▲
Waingereza walihitaji jina jipya kwa ajili ya koloni mpya na tangu Januari 1920 wakaamua kuiita "Tanganyika Territory" kwa kutumia jina la ziwa kubwa upande wa mashariki ya eneo. <ref>[http://www.archive.org/stream/encyclopdiabri32newyrich#page/676/mode/2up/search/tanganyika Linganisha makala "Tanganyika Territory" katika Encyclopedia Britannica, 12th edition, vol 32, uk 676]</ref>▼
▲Mwaka 1919 sehemu kubwa ya koloni
Mwaka [[1922]] Shirikisho la Mataifa lilithibitisha hatua hiyo na kuamua ma[[sharti]] ya kukabidhi.
▲Waingereza walihitaji jina jipya kwa ajili ya koloni
== Uhuru na Muungano na Zanzibar ==
Tanganyika imepata uhuru wake
Mwaka 1964
Leo hii neno "Tanganyika" latumiwa wakati mwingine kutaja sehemu ya Tanzania isiyo [[Zanzibar]], hasa na watu ambao hawapendi muundo wa serikali mbili tu (ile kuu na ile ya Zanzibar) ndani ya muungano na wanadai kuwa na serikali ya tatu, yaani ile ya Tanganyika.
==Marejeo==
<references/>
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
[[Jamii:Nchi
|